Tag: feri
- by T L
- December 13th, 2022
Ombi huduma za feri ziboreshwe msimu wa likizo
NA KNA WADAU wa sekta ya hoteli Pwani, wameomba Shirika la Huduma za Feri za Kenya (KFS) kuboresha huduma wakati huu wa likizo. Kulingana...
- by T L
- December 5th, 2021
KFS yawahakikishia wakazi huduma za feri zitarejea mwaka 2022
Na WINNIE ATIENO Huduma za feri ambazo zilisitishwa miezi mitatu iliyopita, zitarajea baada ya serikali kumaliza ukarabati wa sehemu ya...
Wavukaji feri kuendelea kulipia kupitia kwa Mpesa
Na PHILIP MUYANGA WATUMIAJI wa kivuko cha feri cha Likoni, Kaunti ya Mombasa, wataendelea kulipia ada za kuvuka kupitia kwa Mpesa hadi...
Agizo Shirika la Huduma za Feri lifidie kampuni Sh5.2 milioni
Na Philip Muyanga SHIRIKA la Huduma za Feri nchini (KFS) limo hatarini kupoteza baadhi ya mali zake kwa mnada baada ya kushindwa...
Maseneta wakosoa Joho kuhusu matumizi ya feri
Na WINNIE ATIENO MASENETA wawili kutoka kaunti za Pwani wameishtumu serikali ya kaunti ya Mombasa kwa kushurutisha zaidi ya watu 300,000...
Daraja la Liwatoni lazidisha hatari ya kuenea kwa corona
Na WINNIE ATIENO MPANGO uliotajwa kuwa wa kuzuia maambukizi ya Covid-19 jijini Mombasa umegeuka kuwa tisho kubwa zaidi la kueneza janga...
Kilio Kaunti ya Mombasa kuamuru wakazi watumie daraja jipya badala ya feri
Na WINNIE ATIENO Vurugu zinatarajiwa leo katika kivukio cha Likoni baada ya kamati ya dharura ya kudhibiti maambukizi ya Covid-19 kaunti...
- by adminleo
- July 22nd, 2020
Hofu ya msongamano feri mpya ikiharibika Likoni
Na MOHAMED AHMED HUENDA huduma katika kivuko cha Likoni zikatatizika baada ya feri mpya ya Mv Safari ambayo ni miongoni mwa zile kubwa...
- by adminleo
- June 16th, 2020
Kanuni kali kudumishwa ferini hata baada ya virusi
Na MISHI GONGO SERIKALI inapanga kudumisha kanuni kali zinazotekelezwa katika kivukio cha feri Likoni, Kaunti ya Mombasa, zitadumishwa...
- by adminleo
- April 25th, 2020
Feri mpya yawasili Mombasa
Na MISHI GONGO FERI mpya; MV Safari iliyotengenezwa nchini Uturuki na iliyogharimu serikali Sh1 bilioni imewasili nchini baada ya kutia...
- by adminleo
- April 7th, 2020
Abiria kunyunyiziwa dawa kabla ya kuabiri feri
Na DIANA MUTHEU MAELFU ya abiria wanaotumia kivuko cha Likoni katika Kaunti ya Mombasa, watakuwa wakinyunyiziwa dawa ya kuua viini...
- by adminleo
- March 26th, 2020
CORONA: Huduma za feri kusimamiwa na polisi
Na MOHAMED AHMED RAIS Uhuru Kenyatta ameamrisha jeshi la baharini pamoja na maafisa wa polisi kuchukua usukani wa huduma za kivuko cha...