• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Kimanzi akiandaa kikosi chake kukabiliana na Tusker

Na ABDULRAHMAN SHERIFF ALIYEKUWA mkufunzi wa timu ya taifa ya Harambee Stars, Francis Kimanzi amesema anajitayarisha kurekebisha makosa...

Kimanzi aibuka kocha bora wa Januari 2021 Ligi Kuu ya Kenya

Na GEOFFREY ANENE FRANCIS Kimanzi ndiye kocha bora wa Ligi Kuu ya Kenya wa mwezi Januari. Kocha huyo mkuu wa klabu ya Wazito...

Sababu za FKF kumtimua Kimanzi na kumteua Mulee

Na CHRIS ADUNGO SABABU za Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) kumtema kocha Francis Kimanzi na mikoba aliyokuwa akiidhibiti kambini mwa...

Kimanzi hana kazi Harambee Stars

Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Soka la Kenya (FKF) limeagana rasmi na kocha wa Harambee Stars, Francis Kimanzi mwaka mmoja tu baada ya...

Nyota wa klabu za ‘majuu’ kutegemewa Kenya dhidi ya Zambia kirafiki

Na CHRIS ADUNGO KIUNGO Francis Kahata wa Simba SC nchini Tanzania na kipa Ian Otieno wa Zesco United nchini Zambia, ndio wanasoka wa...

Kenya juu nafasi mbili kwenye viwango vya ubora vya Fifa

Na GEOFFREY ANENE KENYA imepaa nafasi mbili hadi nambari 106 duniani katika viwango bora vipya vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA)...