• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 1:13 PM

KCSE: Matokeo kutolewa Mei

Na WANDERI KAMAU WATAHINIWA wa Mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE) mwaka huu watajua matokeo yao kufikia Mei 10, amesema Waziri wa Elimu,...

Walimu watakaosahihisha KCPE watakuwa katika mazingira salama – Magoha

Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Elimu Prof George Magoha amehakikishia taifa kuwa walimu watakaosahihisha mtihani wa kitaifa kidato cha nane,...

KCSE: Waziri aonya wanafunzi wa vyuo

Na SHABAN MAKOKHA WAZIRI wa Elimu Profesa George Magoha, amewaonya wanafunzi wa vyuo vikuu dhidi ya kutumiwa na walimu wa shule za upili...

WANTO WARUI: Kuzuia wanahabari shuleni kunaficha maovu

NA WANTO WARUI Hatua ya hivi juzi ya Wizara ya Elimu kupiga marufuku vyombo vya habari shuleni huenda ikasababisha hasara zaidi kuliko...

Serikali yatoa hela za ujenzi wa shule zilizoathiriwa na mafuriko

Na WAANDISHI WETU SERIKALI imetoa pesa za kufadhili ujenzi wa shule ambazo ziliharibiwa na mafuriko katika kaunti nne kufuati mvua kubwa...

Magoha asisitiza ni sharti wanafunzi waliojifungua warejee shuleni

Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Elimu Prof George Magoha amesisitiza Ijumaa kwamba wanafunzi wa kike waliopata ujauzito mwaka 2020 ni lazima...

Magoha awataka wanahabari watathmini upya jinsi wanavyoangazia masuala ya elimu

Na SAMMY WAWERU WAZIRI wa Elimu Prof George Magoha amewataka wanahabari watathmini upya jinsi wanavyoangazia masuala ya sekta ya elimu...

Shule zafunguliwa changamoto ikiwa kudumisha nafasi kati ya mwanafunzi mmoja na mwingine

Na SAMMY WAWERU SHULE kote nchini zimefunguliwa leo Jumatatu, Januari 4, 2021, miezi tisa baada ya kufungwa kufuatia mkurupuko wa virusi...

Pondeni raha mkijua Januari ni shule – Magoha

Na LAWRENCE ONGARO WAZIRI wa Elimu, Prof George Magoha, amewataka wazazi wajiandae kwa ufunguzi wa shule Januari 2021 hata...

Wanaharakati wataka Magoha atimuliwe kazini

Na DENNIS LUBANGA MASHIRIKA ya kutetea haki za kibinadamu kutoka eneo la Bonde la Ufa, sasa yanamtaka Rais Uhuru Kenyatta kumfuta kazi...

Hakuna kupumua shuleni

MARY WANGARI na VALENTINE OBARA WANAFUNZI wa shule za msingi na upili wanatazamiwa kukumbana na masomo ya kuharakishwa watakaporudi...

Wanafunzi wapya kabisa chekechea kuingia shuleni Julai 2021

Na FAITH NYAMAI WANAFUNZI wapya kabisa chekechea PP1 wataingia shuleni Julai 2021, imesema Wizara ya Elimu wakati waziri George Magoha...