Tag: ghasia
- by adminleo
- August 6th, 2020
Yafichuka vita Njoro si vya kisiasa pekee
Na JOSEPH OPENDA UKOSEFU wa vyeti vya ardhi, hofu ya kutimuliwa na wizi wa mifugo ni kati ya masuala ambayo yametajwa kama...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Wito mapigano ya kikabila yakomeshwe
Na SAMMY WAWERU Boma likiwa na ukwasi wa kutosha lakini likose amani mazingira yake huwa mithili ya pango la simba, ambalo kwa binadamu...
- by adminleo
- August 3rd, 2020
WANDERI: Ghasia za Nakuru zizimwe kabla ya hali kuzorota zaidi
Na WANDERI KAMAU MAPIGANO ambayo yamekuwa yakishuhudiwa katika maeneo ya Nessuit, Mariashoni na Ndoswa katika Kaunti ya Nakuru...
- by adminleo
- June 14th, 2020
Wanasiasa wanaochochea ghasia waonywa
NA BRUHAN MAKONG Serikali imeonya wanasiasa kutoka kaskazini mwa nchi dhidi ya kuchochea vita kati ya jamii zinazoishi kwenye mpaka wa...
- by adminleo
- December 10th, 2019
Waliochochea ghasia katika hafla ya Ruto motoni
JOSEPH WANGUI NA NICHOLA S KOMU KAMATAKAMATA yanukia katika Kaunti ya Nyeri dhidi ya viongozi na makundi ya vijana yaliyozua ghasia na...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Kuna dalili za machafuko ngomeni mwa Jubilee – Ripoti
Na WANDERI KAMAU TUME ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) imezitaja kaunti nane, nyingi zikiwa ngome za chama cha Jubilee (JP)...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Mkutano wa waathiriwa wa 2007/8 watibuka makundi mawili yakipigania fidia
RICHARD MAOSI NA KEVIN ROTICH MKUTANO wa waathiriwa wa ghasia za uchaguzi wa 2007/8 ulioratibiwa kufanyika uwanjani Afraha Jumatatu...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Maandamano yachacha Sudan, 800 wakamatwa
MASHIRIKA NA PETER MBURU ZAIDI ya watu 800 wametiwa mbaroni katika maandamano ya pingamizi dhidi ya serikali nchini Sudan, waziri mmoja wa...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
Ole Lenku awaonya wanaochochea ghasia za kikabila
Na BENSON MATHEKA GAVANA wa Kajiado Bw Joseph Ole Lenku ameomba maafisa wa usalama kuwachunguza viongozi kutoka kaunti hiyo aliodai...
- by adminleo
- December 20th, 2018
2007/8: Wengi waliolipwa fidia baada ya machafuko walikuwa wakora
Na Joseph Openda KIKUNDI cha wakimbizi wa ndani kwa ndani kufuatia ghasia za baada ya uchaguzi wa 2007 kinaitaka mahakama kuishurutisha...
- by adminleo
- December 17th, 2018
Chifu auawa na kuchomwa mazishini kwenye ghasia
IRENE MWENDWA Na GEORGE SAYAGIE ?Chifu mmoja katika Kaunti ya Marsabit aliuawa Jumapili na kisha mwili wake kuchomwa akihudhuria mazishi...
- by adminleo
- September 17th, 2018
Waliotoroka makwao kufuatia fujo za kisiasa waombwa kurudi
Na Joseph Wangui Gavana wa Kaunti ya Laikipia John Mwaniki amewaomba wakazi wa eneo hilo ambao walitoroka wakati wa ghasia ambazo...