Tag: gor mahia
Gor Mahia kujua mpinzani wao kwenye mchujo wa Kombe la Mashirikisho barani Afrika
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA wa soka ya humu nchini, Gor Mahia watafahamu leo Ijumaa atakayekuwa mpinzani wao kwenye mchujo wa kufuzu kwa...
‘Msoto’ watisha kuyumbisha Gor mwaka mpya ‘21
Na CECIL ODONGO MASAIBU ya kifedha yanayoandama timu ya Gor Mahia hayaonekani kukoma hata katika mwaka mpya unaoanza hii leo, klabu hiyo...
Gor Mahia kukutana sasa na CR Belouizdad ya Algeria katika CAF Champions League
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Kenya na washindi mara 19 wa kipute hicho, Gor Mahia watavaana sasa na CR Belouizdad ya...
Karantini ilirefusha likizo ya kocha Steven Polack – usimamizi Gor Mahia
Na CHRIS ADUNGO MWENYEKITI wa Gor Mahia, Ambrose Rachier amefutilia mbali tetesi kwamba wamekatiza uhusiano wa kocha Steven...
Sijaagana na Gor Mahia licha ya hali kuwa tete – Kipkirui
Na CHRIS ADUNGO FOWADI matata wa Gor Mahia, Nicholas Kipkirui amefutilia mbali tetesi kwamba ameagana rasmi na mabingwa hao mara 19 wa...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Gor Mahia katika mtihani mgumu wa kuhifadhi huduma za wanasoka tegemeo
Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa Gor Mahia, Steven Polack ametaka usimamizi wa miamba hao kujitahidi kadri ya uwezo wao kuwadumisha kikosini...
- by adminleo
- May 31st, 2020
COVID-19: Mashabiki wa Gor Mahia tawi la Nakuru watoa msaada kwa wanaopitia hali ngumu
Na CECIL ODONGO KUNDI moja la mashabiki wa Gor Mahia limezamia miradi ya kuwasaidia watu ambao wameathirika kimapato kutokana na janga...
- by adminleo
- May 27th, 2020
Kuchezea Gor Mahia kuliniandaa kwa soka ya ushindani mkubwa – Musa Mohammed
Na CHRIS ADUNGO NAHODHA wa zamani wa Gor Mahia, Musa Mohammed, amekiri kwamba kuchezea mabingwa hao mara 19 wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL)...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Polack asema wachezaji hawafai kumlaumu kwa kukosa posho
Na CECIL ODONGO MKUFUNZI wa Gor Mahia Steven Polack amesema wachezaji wa timu hiyo hawafai kumlaumu kwa kutowapigania walipwe...
- by adminleo
- May 16th, 2020
Gor Mahia na Bandari FC kukosa fedha za CAF za mfuko wa kukabili Covid-19
Na GEOFFREY ANENE WAWAKILISHI wa Kenya katika soka ya Bara Afrika ya msimu 2019-2020, Gor Mahia na Bandari wanasalia kumeza mate wengine...
- by adminleo
- May 12th, 2020
Kuchezea Gor Mahia lilikuwa ni kosa kubwa, asema mvamizi wa City Stars
Na CHRIS ADUNGO MSHAMBULIAJI wa Nairobi City Stars, Ezekiel Odera amesema kwamba anajutia maamuzi yake ya kusajiliwa na Gor Mahia mnamo...
- by adminleo
- May 6th, 2020
Golikipa wa Gor Mahia ataka mshahara wake la sivyo hatorejea nchini
Na CECIL ODONGO MNYAKAJI wa Gor Mahia David Mapigano ameueleza uongozi wa timu hiyo umlipe malimbikizi ya mshahara wake la sivyo...