• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 6:50 AM

Sikutarajia timu zinazojiita ‘miamba’ kugeuka vinyangarika – Oktay

Na GEOFFREY ANENE KOCHA Hassan Oktay amepapura timu zinazojiita kubwa kwa kutotoa ushindani dhidi ya Gor Mahia baada ya kutawazwa kocha...

5 kutochezea Gor katika kipute cha nane-bora kimataifa

Na CHRIS ADUNGO ANAPOSUBIRI kwa hamu kufanyika kwa droo ya robo-fainali za Kombe la Mashirikisho barani Afrika (CAF Confederations Cup)...

Oktay asema uwanja wa Afraha ulizuia Gor kufuma mabao mengi

NA CECIL ODONGO MKUFUNZI wa Gor Mahia, Hassan Oktay ameutaja uwanja wa Afraha mjini Nakuru ulioandaa mechi yao ya ligi dhidi ya Sofapaka...

Afisa wa Gor awataka wachezaji kukoma kukosoa mbinu za kocha

NA CECIL ODONGO AFISA Mkuu Mtendaji wa Gor Mahia Omondi Aduda amewataka wachezaji wa timu hiyo kushirikiana na kocha Hassan Oktay ili...

Presha kwa Oktay mashabiki wa Gor wakitaka atimuliwe

Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa Gor Mahia wanamlia Kocha Mkuu Hassan Oktay wakitaka afurushwe kabla ya chombo cha mabingwa hawa mara 17 wa...