Tag: Justin Muturi
Sijajiunga na DP – Muturi
Na George Munene SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amekanusha kujiunga na Democratic Party. Bw Muturi, ambaye amejiunga na...
Muturi awaambia Wakenya kuwachagua wagombeaji wenye rekodi ya utendakazi
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amewataka Wakenya kuwakataa wagombeaji urais ambao utendakazi wao katika...
Muturi awekewa presha aungane na Ruto, si Raila
Na ALEX NJERU WANASIASA wa Mlima Kenya sasa wanasema kuwa Spika wa Bunge la Kitaifa, Bw Justin Muturi anaandaliwa na Rais Uhuru Kenyatta...
Muturi awarai vijana wasake vyeo vya uongozi
Na GEORGE MUNENE SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amewarai vijana wasake vyeo vya uongozi katika uchaguzi mkuu wa 2022. Bw...
Sitajiuzulu kama Spika, Muturi asema
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amepuuzilia mbali miito ya kumtaka ajiuzulu mnamo Februari, 2022 sawa na...
Tuonane kwenye debe la urais 2022 – Muturi
Na GEORGE MUNENE HATIMAYE Spika wa Bunge la Kitaifa, Bw Justin Muturi ametangaza kuwa atawania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2022. Bw...
Muturi aharibu hesabu ya Raila, Ruto Mlimani
Na WAANDISHI WETU KUTAWAZWA kwa Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi kama Msemaji wa jamii za Mlima Kenya kumevuruga mikakati ya...
JAMVI: Viatu vya urithi wa Uhuru vitatosha Muturi Mlimani?
Na WANDERI KAMAU NI wazi sasa kwamba Spika wa Bunge la Kitaifa, Bw Justin Muturi, ndiye mrithi rasmi wa Rais Uhuru Kenyatta kama msemaji...
Muturi atawazwa msemaji Mlima Kenya
Na KENNEDY KIMANTHI SPIKA wa Bunge la Kitaifa, Justin Muturi, Jumamosi alitawazwa kuwa msemaji wa eneo la Mlima Kenya chini ya ulinzi...
Bunge halitachelewesha BBI – Muturi
ALEX NJERU na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa, Justin Muturi ameelezea matumaini kwamba, mabunge ya Seneti na lile la Kitaifa...
Mipango kuandaa Muturi kuwania urais 2022 yaiva
Na ALEX NJERU YAMKINI juhudi zinaendelea za kuandaa Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi kuwa kigogo wa siasa za eneo la Mlima Kenya...
Wabunge kukutana Jumanne kuahirisha vikao vya ana kwa ana
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wataahirisha vikao vya ana kwa ana Jumanne wiki ijayo kufuatia agizo la Rais Uhuru Kenyatta la kusitisha...