• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 7:50 AM

Serikali inavyokiuka Katiba kuacha raia wafe njaa

Na LEONARD ONYANGO INAONEKANA haki zilizoorodheshwa kwenye Katiba zinalenga kuwafaa tu mabwanyenye na kubagua maskini. Sura ya Pili...

CHARLES WASONGA: Si wakati mwafaka wa kuadhimisha ya Siku ya Katiba

Na CHARLES WASONGA JUZI aliyekuwa mpiganiaji wa ukombozi wa pili nchini Koigi Wamwere aliisuta Serikali Kuu kwa kutoandaa maadhimisho ya...

Korti yacharaza Uhuru kiboko mara nyingine ikisema alipuuza Katiba

Na RICHARD MUNGUTI RAIS Uhuru Kenyatta amepata pigo jingine katika maamuzi yake baada ya Mahakama Kuu jana kufutilia mbali uteuzi wa...

Upinzani wamtaka Magufuli ageuze katiba

Na The Citizen CHAMA cha Civic United Front (CUF) kinataka Rais John Pombe Magufuli kuanzisha mchakato wa kutaka kubadilisha katiba ili...

CECIL ODONGO: Utata wa BBI pia ulibugika miswada ya Bomas, Wako

Na CECIL ODONGO MAKUNDI mbalimbali ya kijamii na wanasiasa wamekuwa wakijitokeza kudai kwamba, maoni yao hayakujumuishwa kwenye ripoti...

Nzamba Kitonga aombolezwa kama shujaa

Na BENSON MATHEKA WAKILI Nzamba Kitonga aliyefariki Jumamosi baada ya kuugua ghafla, ametajwa kuwa mwansheria shupavu katika masuala ya...

MATHEKA: Serikali yazidi kuvuruga Katiba, kuleta udikteta

Na BENSON MATHEKA KAULI ya waziri wa Usalama, Fred Matiang'i kwamba Mwanasheria Mkuu Kihara Kariuki atakuwa akithibitisha maagizo ya...

Jubilee yachafua Katiba

Na MWANDISHI WETU SERIKALI ya Rais Uhuru Kenyatta inaendelea kulaumiwa kwa kutotilia maanani hitaji la kuheshimu Katiba kikamilifu, huku...

Wanamageuzi wataka Katiba ya 2010 itekelezwe kikamilifu

Na BENSON MATHEKA WANAHARAKATI nchini wanataka Katiba ya 2010 itekelezwe kwa kikamilifu huku wakipinga mabadiliko ambayo yatalenga...

WASONGA: Mabadiliko ya katiba hayatamaliza ghasia

Na CHARLES WASONGA MAUDHUI kuu katika hotuba ya Rais Uhuru Kenyatta wakati wa maadhimisho ya Sikuu Kuu ya Madaraka mnamo Jumanne wiki...

Muungano mkuu Jubilee, ODM na KANU wanukia

Na JUSTUS OCHIENG CHAMA tawala cha Jubilee kinachoongozwa na Rais Uhuru Kenyatta na Orange Democratic Movement (ODM) chake kiongozi wa...

‘Referenda yafaa kujali maslahi ya wananchi, si matakwa ya viongozi walafi’

Na DERICK LUVEGA KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi ametofautiana na wabunge wa ODM kuhusu wito wa kutaka...