Tag: KIAMBU
- by adminleo
- May 4th, 2020
Gavana wa Kiambu awajali wagonjwa
Na LAWRENCE ONGARO WAGONJWA wote waliokwama nyumbani katika Kaunti ya Kiambu na hasa wakongwe watapelekwa hospitalini na kutibiwa...
- by adminleo
- April 25th, 2020
Gavana aweka mikakati kukabili Covid-19 Kiambu
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Kaunti ya Kiambu wameshauriwa kufuata ushauri wa serikali kuepuka athari hasi za homa hatari ya...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Kiambu yateua Naibu Gavana mpya
SIMON CIURI na WANDERI KAMAU GAVANA wa Kiambu Dkt James Nyoro, Jumatano alimteua Dkt Joyce Wanjiku Ngugi kuwa naibu gavana mpya. Dkt...
- by adminleo
- February 13th, 2020
Nani atapewa kiti cha Naibu Gavana kaunti ya Kiambu?
Na LAWRENCE ONGARO BAADA ya gavana wa tatu Dkt James Nyoro kuapishwa rasmi aiongoze Kaunti ya Kiambu wiki mbili zilizopita, sasa macho...
- by adminleo
- January 30th, 2020
James Nyoro sasa kuapishwa rasmi kesho Ijumaa
Na CHARLES WASONGA NI rasmi sasa kwamba James Nyoro ataapishwa rasmi Ijumaa awe Gavana mpya wa Kiambu baada ya kuondolewa afisini kwa Bw...
- by adminleo
- January 30th, 2020
Hafla ya kumtawaza Dkt Nyoro awe Gavana wa tatu wa Kiambu yaahirishwa
Na LAWRENCE ONGARO MIPANGO ya kumuapisha Dkt James Nyoro awe gavana wa tatu wa Kaunti ya Kiambu yalitibuka kutokana na mpangilio ya...
- by adminleo
- December 18th, 2019
Ngoingwa, mtaa unaoimarika kwa kasi Kiambu
NA SAMMY WAWERU Kiambu ni mojawapo ya kaunti zinazounda eneo la Mlima Kenya na ni tajika katika shughuli za kilimo na ufugaji, ikiwa ni...
- by adminleo
- November 7th, 2019
Mbunge apendekeza naibu gavana awe na mamlaka zaidi
Na LAWRENCE ONGARO KAUNTI ya Kiambu inastahili kuwa na mwongozo unaofaa ili iweze kupiga hatua kimaendeleo. Mbunge wa Thika Bw...
- by adminleo
- October 15th, 2019
Wachungaji wa madhehebu tofauti waombea Thika Superhighway mjini Ruiru
Na LAWRENCE ONGARO MADEREVA wa magari kwenye barabara kuu ya Thika Superhighway wamehimizwa kuwa makini wanapoendesha vyombo hivyo vya...
- by adminleo
- October 11th, 2019
Nyoro aomba ushirikiano kuiboresha Kiambu
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kufanya ushauri na wafanyabiashara wote wa Kiambu ili kuboresha hali ya uchumi katika kaunti...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Madiwani Kiambu wafuata ulafi wa wabunge
NA ERIC WAINAINA MADIWANI katika Kaunti ya Kiambu wameshangaza Wakenya kwa kutenga zaidi ya Sh100 milioni kugharimia vikao vya umma...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Umaskini na ardhi kiini cha uhalifu Kiambu
Na MARY WAMBUI PENGO kati ya matajiri na masikini, kupanda kwa gharama ya maisha, kubadilishwa kwa ardhi iliyokuwa ya kilimo kuwa ya...