• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 8:50 AM

2022: ‘Kieleweke’ wamrai Ruto amteue Muturi mgombea mwenza

NA DANIEL OGETTA KUNDI la wabunge wa 'Kieleweke' kutoka Mlima Kenya sasa wanamtaka Naibu Rais, Dkt William Ruto kumteua Spika wa Bunge...

OBARA: ‘Kieleweke’ wamenaswa na mtego wa ‘Tangatanga’

Na VALENTINE OBARA VIONGOZI wa kisiasa wanaoegemea upande wa Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, walikuwa...

‘Team Komboa Kenya’ yajitokeza kukabili ‘Tangatanga’ na ‘Kieleweke’

Na DERICK LUVEGA SIKU moja baada ya mkutano wa kundi la ‘Kieleweke’kutibuka mjini Kakamega, vuguvugu jingine la kisiasa limejitokeza...

‘Kieleweke’ wamuumbua Ruto kuhusu ufisadi

Na CECIL ODONGO MAOMBI yaliyoandaliwa na Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (COTU), Jumapili yaligeuka kuwa jukwaa la wanasiasa wa kundi...

Mbunge wa ‘Kieleweke’ anayetumia kila mbinu kuhakikisha Ruto hataingia Ikulu 2022

Na PETER MBURU NDIYE alikuwa kiongozi wa kwanza kutoka eneo la Mlima Kenya na wa chama cha Jubilee kudai kuwa jamii ya eneo hilo...

Wabunge wa kike wa Jubilee wamtaka Rais kuitisha mkutano wa Kundi la Wabunge

Na CHARLES WASONGA WABUNGE wa kike wa chama cha Jubilee wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuitisha mkutano wa Kundi la Wabunge (PG) kujadili...

Wabunge wadai muungano mpya wa kisiasa watokota 2022

STANLEY KIMUGE na WYCLIFF KIPSANG BAADHI ya viongozi wa Jubilee wameelezea uwezekano wa muungano wa kisiasa kati ya kiongozi wa chama...