• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 9:48 PM
Waziri wa Leba wa Uganda auawa kwa kupigwa risasi

Waziri wa Leba wa Uganda auawa kwa kupigwa risasi

NA DAILY MONITOR

KAMPALA, UGANDA

WAZIRI wa Leba nchini Uganda Kanali (Mstaafu) Charles Okello Engola ameuawa kwa kupigwa risasi na mlinzi wake nyumbani kwake Kyanja jijini Kampala.

Naibu msemaji wa polisi jiji kuu Luke Owoyesigire amethibitisha.

“Ni kweli. Nendeni Kyanja. Mlinzi amemuua bosi wake,” amesema Owoyesigire.

  • Tags

You can share this post!

Ruto arusha ahadi zaidi

MAANDAMANO: Yanayojiri

T L