Tag: kiswahili
- by adminleo
- August 9th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Hatua za mwanzo za usanifishaji Kiswahili
Na WANDERI KAMAU KIPINDI cha kuanzia mwaka 1930 hadi mwaka 1938 kilikuwa muhimu sana kwa historia ya usanifishaji wa...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Walimu wapinga pendekezo Kiswahili kufunzwa shuleni Namibia
Na MASHIRIKA BARAZA la Mawaziri la Namibia limeidhinisha hoja ya kutaka lugha ya Kiswahili ifundishwe shuleni. Walimu hata hivyo,...
- by adminleo
- April 30th, 2019
ADUNGO: Kiini cha tofauti za matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali
NA CHRIS ADUNGO MATUMIZI ya lugha ni namna ambavyo wazungumzaji hutumia lugha kwa kuzingatia mila, desturi na kaida mbalimbali za jamii...
- by adminleo
- April 29th, 2019
Nancy Macharia anashindwaje kujieleza kwa Kiswahili?
NA HENRY INDINDI WIKI iliyopita Jumatano katika uangalizi wa mafunzo ya mfumo mpya wa elimu wa umilisi na utendaji (CBC), nilishuhudia...
- by adminleo
- April 24th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nafasi ya Kiswahili katika ujenzi wa jamii mpya ya Afrika
Na CHRIS ADUNGO LUGHA ni chombo muhimu sana cha mawasiliano kilichoundwa na sauti za nasibu za kusemwa na kutumiwa na jamii ya utamaduni...
- by adminleo
- March 6th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nafasi ya Kiswahili kama lugha ya kufundishia katika ngazi za elimu
Na MARY WANGARI WANAFUNZI wanaelewa vizuri wanapofundishwa katika lugha ya Kiswahili kama anavyosema Brock-Utne (2000) na Brock-Utne...
- by adminleo
- March 6th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Kiswahili kama lugha ya kufundishia kwa mujibu wa wataalamu
Na MARY WANGARI TUNAENDELEA kufafanua mada kuhusu nafasi ya Kiswahili kama lugha ya kufundishia kwa kuangazia wataalamu...
- by adminleo
- December 12th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Baadhi ya shule zinakosea kuharamisha matumizi ya Kiswahili
NA PROF KEN WALIBORA GAZETI la Daily Nation la Desemba 4, 2018 limebeba habari ya tamko langu kuhusu marufuku dhidi ya kuzungumza...
- by adminleo
- November 21st, 2018
KAULI YA WALIBORA: Usiivyoge lugha kimatumizi iwapo huimanyi barabara
NA PROF KEN WALIBORA Ninapenda kusikiliza idhaa ya Kiingereza ya BBC sio tu kwa sababu ya kuarifiwa, kuburudishwa, na kufundishwa bali...
- by adminleo
- October 9th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Wahariri wana nafasi aali ya kuinua thamani na haiba ya Kiswahili
NA PROF KEN WALIBORA TOVUTI ya kituo maarufu cha televisheni nchini mapema wiki hii ilikuwa na habari kuhusu “silaha za moto,” kauli...
- by adminleo
- October 9th, 2018
WALLAH BIN WALLAH: Guru mfia lugha anayeyabeba majukumu ya asasi za serikali
Na CHRIS ADUNGO TUNAPOVUTA taswira ya safari ya makuzi ya Kiswahili katika kipindi cha miongo mitatu iliyopita, hapana shaka kwamba...
- by adminleo
- September 27th, 2018
KAULI YA MATUNDURA: Kiswahili kinashuhudia mwamko mpya na wa kipekee kote duniani
NA BITUGI MATUNDURA MWAKA huu unaweza kutajwa kuwa ‘mwaka wa matumaini makuu’ kwa lugha ya Kiswahili si tu Afrika ya Mashariki na...