Tag: kiswahili
- by adminleo
- September 27th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Wanahabari waepuke uchale katika usomaji habari, wawaige mikota wa zamani
NA PROF KEN WALIBORA KUNA taarifa za habari zilizokuwa zikisomwa na mkongwe wa usomaji habari, Khamis Themor wa VOK (baadaye KBC)...
- by adminleo
- September 19th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Haya si maendeleo ya usasa wa Kiswahili
NA PROF KEN WALIBORA Bwana mmoja aitwaye Nassoro Mwinyi niliyekutana naye Mombasa alinipa mambo mengi ya kutafakuri kuhusu taaluma za...
- by adminleo
- September 18th, 2018
Kiswahili sasa kufundishwa nchini Afrika Kusini
BBC na PETER MBURU PRETORIA, AFRIKA KUSINI LUGHA ya Kiswahili sasa itaanza kufundishwa kama somo la kuchagua katika shule za Afrika...
- by adminleo
- September 12th, 2018
KAULI YA MATUNDURA: Baraza la Kiswahili Kenya lahitaji kuungwa mkono kikamilifu
NA BITUGI MATUNDURA Mwezi uliopita, Baraza la Mawaziri la Kenya lilitoa idhini ya kubuniwa kwa Baraza la Kiswahili Kenya (BAKIKE). Hatua...
- by adminleo
- September 12th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Ukakamavu wa Julius Malema kuzamia lulu Kiswahili ni wa kuigwa
NA PROF KEN WALIBORA MBUNGE na kiongozi wa chama cha Economic Freedom Party nchini Afrika Kusini Julius Malema amewashangaza wengi kwa...
- by adminleo
- September 5th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Shime kumuenzi nguli wa fasihi Prof Bukenya angali hai
NA PROF KEN WALIBORA MNAMO tarehe 30 Agosti kulikuwa na sherehe ndogo ya kumuenzi msomi na mtunzi anayejitambulisha kwa maneno na...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
Malema mbioni kuidhinisha Kiswahili kiwe lugha rasmi ya Afrika
MASHIRIKA NA PETER MBURU KIONGOZI wa Chama cha Kupigania Haki za Kiuchumi (EFF) nchini Afrika Kusini, Bw Julius Malema (pichani) sasa...
- by adminleo
- August 29th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Dhima ya kutafsiri neno la Mungu haina masihara
Na PROF KEN WALIBORA BIBLIA Takatifu ndicho kitabu kilichotafsiriwa kwa lugha nyingi zaidi duniani. Mabilioni ya watu wanaosoma...
- by adminleo
- August 8th, 2018
GWIJI WA WIKI: Mfahamu mwanafasihi Mukoya Aywah
Na CHRIS ADUNGO NASAHA Huu ndio ushauri, walimwengu fahamuni, Epukana na kiburi, mkaishi salamani, Shikilia ujasiri, nawambia...
- by adminleo
- August 8th, 2018
KAULI YA WALIBORA: ‘Shosho’ Cecilia ni mfano hai kuwa ujuzi wa mtu hautegemei umilisi wa Kiingereza
Na PROF KEN WALIBORA Hivi majuzi mtangazaji mpya wa kipindi cha Trend cha NTV Amina Abdi alijaribu kumhoji Bikizee wa miaka 80 aiitwaye...
- by adminleo
- August 8th, 2018
Wasomi wa Kiswahili wakutana chuoni Moi kwa kongamano kuu
Na TITUS OMINDE WASOMI na wataalam wa lugha ya Kiswahili kutoka Afrika Mashariki wanashiriki katika kongamano la Kiswahili katika Chuo...
- by adminleo
- August 2nd, 2018
Utumizi wa Kiswahili shuleni wazua ubishi TZ
Na JOSEPHINE CHRISTOPHER WATANZANIA wameshindwa kuamua kuhusu lugha wanayofaa kutumia kufunza shuleni kati ya Kiswahili na...