Tag: kitanzi
- by adminleo
- October 19th, 2018
Ajinyonga na kuacha barua mkewe aliyemtoroka ahudhurie mazishi
Na PETER MBURU MWANAMUME wa miaka 22 kutoka kaunti ya Homa Bay amewaacha watu kwa mshangao baada ya kujiua na kuwacha ujumbe kuwa mkewe...
- by adminleo
- October 12th, 2018
Meneja wa PwC afariki baada ya kujirusha kutoka orofa ya 17
Na PETER MBURU MWANAMUME anayesemekana kuwa meneja katika kampuni ya PriceWaterhouseCoopers (PwC) aliaga dunia baada ya kujirusha kutoka...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Ajiua sababu ya mke kuwa na mpango wa kando
Na KALUME KAZUNGU MWANAMUME wa makamo (pichani) Jumanne alijitia kitanzi baada ya kugundua kuwa mkewe alikuwa na uhusiano wa kimapenzi...
- by adminleo
- August 22nd, 2018
Ajinyonga kutotaka wazazi wagharimie matibabu
Na JOHN NJOROGE HALI ya majonzi imetanda katika kijiji cha Nyakiambi, viungani mwa mji wa Elburgon baada ya mwili wa mwanaume aliye na...
- by adminleo
- July 9th, 2018
Mwalimu ajitia kitanzi na kuacha ujumbe kushauri wanaume
Na GRACE GITAU Polisi wanachunguza kisa ambapo mwalimu wa shule ya upili Kaunti ya Kirinyaga alijitia kitanzi na kuacha ujumbe akishauri...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Aliyezuiliwa kwa kuua mwanawe ajiua ndani ya seli
Na HILLARY KIMUYU MWANAMUME ambaye amekuwa akizuiliwa na polisi kwa madai ya kumuua mwanawe wa kambo kwa kumdunga kisu alipoingilia...
- by adminleo
- April 14th, 2018
Ajitia kitanzi akilalamikia kuchoshwa na mkewe
BARACK ODUOR na CHARLES WASONGA MWANAMUME mmoja katika kaunti ya Homa Bay Alhamisi alijiua katika mti wa maembe kwa madai kuwa...
- by adminleo
- April 10th, 2018
Mwanafunzi ajiua mamake kumkera kwa kudai anagawa uroda kijijini
Na CHRIS ADUNGO na GERALD BWISA MWANAFUNZI wa darasa la sita katika kaunti ya Trans Nzoia alijitia kitanzi baada ya mama yake kudai...
- by adminleo
- February 15th, 2018
Ajiua baada ya kukosana na mpenzi Valentino Dei
Na WAANDISHI WETU Kwa ufupi: Wauzaji wa maua walikuwa wachache katikati ya jiji ambako shughuli za kawaida za kibiashara...
- by adminleo
- February 13th, 2018
Baba ajiua baada ya kukosana na mwanawe
Na GERALD BWISA MWANAMUME wa miaka 55 Jumatatu alijiua baada ya kugombana na mwanawe katika kaunti ya Trans Nzoia. Marehemu,...