• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 4:55 PM

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Messi kuendelea kuchezea Argentina, kocha wake atamani anogeshe fainali za dunia 2026

Na MASHIRIKA LIONEL Messi amesema hatastaafu soka ya kimataifa baada ya kuongoza Argentina kutawazwa mabingwa wa Kombe la Dunia kwa mara...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Mbivu na mbichi kuhusu nani mkali kati ya Messi na Mbappe kujulikana ugani Lusail Iconic

Na MASHIRIKA MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kati ya kigogo Lionel Messi wa Argentina na nyota Kylian Mbappe wa Ufaransa itajulikana...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Fainali ya Disemba 18, 2022 kuwa ya mwisho kwa Lionel Messi katika historia ya Kombe la Dunia

Na MASHIRIKA NAHODHA wa Argentina, Lionel Messi amesema fainali ya Disemba 18, 2022 itakuwa yake ya mwisho kusakata katika kipute cha...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina roho juu wakishuka dimbani kuvaana na Saudi Arabia katika Kundi C

Na MASHIRIKA NYOTA Lionel Messi ataongoza Argentina kupepetana na Saudi Arabia katika mechi ya Kundi C ugani Lusail Iconic. Mabingwa...

Messi aahidi Argentina makuu Qatar

NA MASHIRIKA LIONEL Messi ametoa ahadi ya kuongoza Argentina kujituma maradufu katika makala ya 22 ya Kombe la Dunia mwaka huu 2022 na...

Messi afunga mabao mawili na kusaidia PSG kutoka nyuma na kuzamisha RB Leipzig kwenye UEFA

Na MASHIRIKA LIONEL Messi alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kutoka nyuma na kuzamisha chombo cha...

Rennes wapiga PSG breki kali katika kampeni za Ligue 1

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walipokezwa kichapo cha kwanza katika Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) mnamo Jumapili baada ya...

Messi kusalia nje ya kikosi cha PSG kitakachomenyana na Metz ligini

Na MASHIRIKA LIONEL Messi ameachwa nje ya kikosi kitakachotegemewa na Paris Saint-Germain (PSG) dhidi ya Metz katika Ligi Kuu ya...

PSG yapepeta Lyon kwenye mechi ya kwanza ya Messi katika uwanja wa nyumbani

Na MASHIRIKA LIONEL Messi alichezeshwa na Paris Saint-Germain (PSG) kwa mara ya kwanza katika uwanja wa nyumbani wa Par des Princes ila...

Messi ampita Pele na kuweka rekodi mpya ya ufungaji mabao Amerika Kusini

Na MASHIRIKA LIONEL Messi amempita jagina Pele na kuwa mfungaji bora wa muda wote wa soka ya wanaume kwenye mechi za kimataifa miongoni...

PSG tayari kumsajili Ronaldo kucheza na Messi

PARIS, Ufaransa Paris Saint-Germain (PSG) imepanga kumsajili Cristiano Ronaldo acheze na Lionel Messi iwapo Kylian Mbappe ataamua...

Messi kusubiri zaidi kuchezea PSG baada ya kutambulishwa rasmi kwa mashabiki wa kikosi hicho

Na MASHIRIKA LIONEL Messi atatambulishwa rasmi kwa mashabiki wa Paris Saint-Germain (PSG) hii leo japo hatachezeshwa na kikosi hicho...