Tag: maraga
- by adminleo
- July 23rd, 2019
Maraga awashauri magavana na wabunge kujadiliana kwanza
MAUREEN KAKAH na CHARLES WASONGA MAHAKAMA ya Juu Jumanne ilizitaka pande husika katika kesi ambapo magavana wanataka ufasiri na ushauri...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Jubilee ni kisiki katika utekelezaji katiba – Maraga
Na VALENTINE OBARA JAJI Mkuu David Maraga, amelaumu Serikali ya Jubilee kwa kuhujumu juhudi za utekelezaji wa katiba iliyopitishwa mwaka...
- by adminleo
- May 15th, 2019
Maraga asikitika mahakama nchini zinatumiwa kama tambara mbovu
Na CECIL ODONGO JAJI Mkuu David Maraga amezitaka Mahakama na mawakili kuheshimu sheria zinazoongoza utendakazi wao ili kurejesha...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Majaji 14 motoni akiwamo David Maraga
Na RICHARD MUNGUTI CHUMA ki motoni kwa majaji 14 wa Mahakama ya Juu na Mahakama Kuu ambao huenda wakatimuliwa kazini kwa madai ya...
- by adminleo
- April 7th, 2019
Maraga aagiza korti zisaidie waraibu, zisiwatupe jela
NA KALUME KAZUNGU JAJI Mkuu David Maraga, ameamuru mahakama za Lamu kuwatambua waathiriwa wa dawa za kulevya wanaofikishwa mbele ya...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Maraga ahimiza vituo vya polisi vikumbatie mfumo wa kidijitali
NA CECIL ODONGO JAJI Mkuu David Maraga Jumatatu aliipa changamoto Tume ya Huduma za Polisi(NPSC), kufanikisha utaratibu wa matumizi ya...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
JAMVI: Urafiki wa Uhuru na Maraga unavyotisha kuzima uhuru wa mahakama
Na VALENTINE OBARA UHURU wa mahakama unazidi kutiliwa shaka kufuatia jinsi Jaji Mkuu David Maraga anavyoonekana kuwa karibu sana na Rais...
- by adminleo
- December 24th, 2018
Maraga atoka hospitali, mkewe bado atibiwa
Na BERNARDINE MUTANU JAJI Mkuu David Maraga aliruhusiwa kwenda nyumbani Jumamosi jioni baada ya kuchunguzwa na kutibiwa katika hospitali...
- by adminleo
- December 17th, 2018
Maraga amwelekezea DPP lawama kuhusu ufisadi
Na COLLINS OMULO JAJI Mkuu David Maraga ameilaumu afisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma (DPP) kwa kuchelewesha kukamilika kwa...
- by adminleo
- August 15th, 2018
Maraga amkaribisha kinara mpya wa PSC kusaidia kutatua kesi za ardhi
Na PETER MBURU JAJI Mkuu David Maraga amemkaribisha mwenyekiti mpya wa Tume ya Huduma za Umma (PSC) Bw Stephen Kirogo kwa wito kuwa aanze...
- by adminleo
- May 16th, 2018
Maraga awataka majaji na mahakimu wazingatie maadili ili kukuza imani
Na RICHARD MUNGUTI JAJI Mkuu (CJ) David Maraga Jumatano aliwataka majaji na mahakimu wote wawe na maadili mema ndipo wananchi wawe na...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Viongozi wa Jubilee wamponda Maraga, wamsifu Matiang’i
Na PETER MBURU VIONGOZI wa Jubilee wamemkabili vikali Jaji Mkuu David Maraga kwa kutetea majaji ambao wanadaiwa kutoa maagizo ya kuzuia...