• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 9:48 PM

Maraga awashauri magavana na wabunge kujadiliana kwanza

MAUREEN KAKAH na CHARLES WASONGA MAHAKAMA ya Juu Jumanne ilizitaka pande husika katika kesi ambapo magavana wanataka ufasiri na ushauri...

Jubilee ni kisiki katika utekelezaji katiba – Maraga

Na VALENTINE OBARA JAJI Mkuu David Maraga, amelaumu Serikali ya Jubilee kwa kuhujumu juhudi za utekelezaji wa katiba iliyopitishwa mwaka...

Maraga asikitika mahakama nchini zinatumiwa kama tambara mbovu

Na CECIL ODONGO JAJI Mkuu David Maraga amezitaka Mahakama na mawakili kuheshimu sheria zinazoongoza utendakazi wao ili kurejesha...

Majaji 14 motoni akiwamo David Maraga

Na RICHARD MUNGUTI CHUMA ki motoni kwa majaji 14 wa Mahakama ya Juu na Mahakama Kuu ambao huenda wakatimuliwa kazini kwa madai ya...

Maraga aagiza korti zisaidie waraibu, zisiwatupe jela

NA KALUME KAZUNGU JAJI Mkuu David Maraga, ameamuru mahakama za Lamu kuwatambua waathiriwa wa dawa za kulevya wanaofikishwa mbele ya...

Maraga ahimiza vituo vya polisi vikumbatie mfumo wa kidijitali

NA CECIL ODONGO JAJI Mkuu David Maraga Jumatatu aliipa changamoto Tume ya Huduma za Polisi(NPSC), kufanikisha utaratibu wa matumizi ya...

JAMVI: Urafiki wa Uhuru na Maraga unavyotisha kuzima uhuru wa mahakama

Na VALENTINE OBARA UHURU wa mahakama unazidi kutiliwa shaka kufuatia jinsi Jaji Mkuu David Maraga anavyoonekana kuwa karibu sana na Rais...

Maraga atoka hospitali, mkewe bado atibiwa

Na BERNARDINE MUTANU JAJI Mkuu David Maraga aliruhusiwa kwenda nyumbani Jumamosi jioni baada ya kuchunguzwa na kutibiwa katika hospitali...

Maraga amwelekezea DPP lawama kuhusu ufisadi

Na COLLINS OMULO JAJI Mkuu David Maraga ameilaumu afisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya Umma (DPP) kwa kuchelewesha kukamilika kwa...

Maraga amkaribisha kinara mpya wa PSC kusaidia kutatua kesi za ardhi

Na PETER MBURU JAJI Mkuu David Maraga amemkaribisha mwenyekiti mpya wa Tume ya Huduma za Umma (PSC) Bw Stephen Kirogo kwa wito kuwa aanze...

Maraga awataka majaji na mahakimu wazingatie maadili ili kukuza imani

Na RICHARD MUNGUTI JAJI Mkuu (CJ) David Maraga Jumatano aliwataka majaji na mahakimu wote wawe na maadili mema ndipo wananchi wawe na...

Viongozi wa Jubilee wamponda Maraga, wamsifu Matiang’i

Na PETER MBURU VIONGOZI wa Jubilee wamemkabili vikali Jaji Mkuu David Maraga kwa kutetea majaji ambao wanadaiwa kutoa maagizo ya kuzuia...