Tag: mazingira
LEONARD ONYANGO: Wawaniaji urais walipe uzito suala la mabadiliko ya tabianchi
Na LEONARD ONYANGO HUKU Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, 2022 ukinukia, wanasiasa wanaomezea mate urais wamekuwa wakizunguka kila pembe ya...
TAHARIRI: Uhifadhi mazingira usiwe ni siku moja
NA MHARIRI MNAMO Jumamosi, Wakenya walijiunga na dunia nzima kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani. Kama kawaida, viongozi na wananchi...
Uhuru azindua kampeni ya uboreshaji wa mazingira Nairobi
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amezindua kampeni ya kurejesha hadhi ya Jiji la Nairobi kupitia uhifadhi wa mazingira; hatua...
- by adminleo
- June 30th, 2020
Sehemu iliyokuwa imegeuzwa dampo hatari Githurai 44 yaokolewa
Na SAMMY WAWERU HATIMAYE eneo lililokuwa limegeuzwa dampo mtaani Githurai 44 katika Kaunti ya Nairobi kwa muda mrefu limetwaliwa...
- by adminleo
- June 9th, 2020
SHINA LA UHAI: Corona si hatari tu kwa afya bali pia mazingira
Na LEONARD ONYANGO VIDEO ya mwanaume aliyeonekana akisafisha barakoa/maski zilizotumika iliwatia hofu Wakenya ilipochipuza katika...
- by adminleo
- March 24th, 2020
MAZINGIRA NA SAYANSI: Vitu vinavyoweza kuleta virusi vya corona nyumbani
Na LEONARD ONYANGO VIRUSI vya corona vinaenea kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kupitia kusalimiana kwa mikono, kugusana na kuwa karibu...
- by adminleo
- November 22nd, 2019
Dow yashirikiana na ChildFund kuwapa watoto motisha kuhifadhi mazingira
Na MAGDALENE WANJA KATIKA juhudi za kuwaweka watoto katika hali ya wao kujenga mazoea ya kutunza mazingira, kampuni ya Dow Chemical...
- by adminleo
- November 19th, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Mifuko yaundwa kwa mihogo katika juhudi kutunza mazingira
Na LEONARD ONYANGO MIFUKO ya plastiki iliyopigwa marufuku na serikali mnamo 2017 huenda ‘ikarejea’ sokoni humu nchini. Lakini...
- by adminleo
- November 5th, 2019
Amerika yaanza mchakato rasmi kujiondoa katika makubaliano ya mazingira ya Paris
Na MASHIRIKA Na WASHINGTON D.C., AMERIKA AMERIKA imetaarifu Umoja wa Mataifa (UN) kwamba inataka kujiondoa rasmi katika Mkataba wa...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Wanamazingira wa Kenya wajiunga na wenzao duniani kuhimiza umuhimu wa uhifadhi mazingira
Na MAGDALENE WANJA WAHIFADHI mazingira wa Kenya wamejiunga na wenzao kutoka nchi mbalimbali katika mjadala unaoendelea kuhusu ongezeko...
- by adminleo
- October 1st, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Umuhimu wa nyuki kwa chakula na mazingira
Na LEONARD ONYANGO KUNA uwezekano kwamba serikali inachangia katika kudorora kwa uzalishaji wa chakula nchini. Hii inatokana na hatua...
- by adminleo
- August 21st, 2019
Wakenya wawili watuzwa kimataifa kwa juhudi zao za kuhifadhi mazingira
Na MAGDALENE WANJA Wakenya wawili wametuzwa kwa juhudi zao za kuhifadhi mazingira katika Kongamano kuhusu Biashara ya Kimataifa ya...