Tag: mke
- by adminleo
- April 9th, 2018
SHANGAZI: Kila niendapo kwa duka lake, hulalama kuhusu mumewe
Mimi ni kijana na nilioa miaka mitatu iliyopita. Nina mtoto mmoja. Tatizo ni kwamba, kuna mwanamke mwenye biashara ya nguo. Niendapo...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Pasta ashangaza kuomba waumini idhini afurushe mkewe
Na TOBBIE WEKESA KABATI, MURANG'A PASTA wa kanisa moja la hapa aliwaacha wengi vinywa wazi alipowaomba ruhusa waumini ili amtimue mke...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Mke wa mwanamume achukuliwa na mwenzake baada ya kupoteza ubashiri wa mechi
Na CHRIS ADUNGO MWANAMUME mmoja atatazama kupoteza mkewe na kulala chumbani kwa rafiki yake wa kamari kwa wiki nzima baada ya kupoteza...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Polo aliyeokoka afichulia waumini yeye ni mpenziwe mke wa pasta
Na SAMMY WAWERU KANDARA, MURANG'A WAUMINI wa kanisa moja mtaani hapa walipigwa na mshangao jamaa aliyeamua kuokoka alipodai alikuwa...
- by adminleo
- April 3rd, 2018
Wa Muchomba atawataka wanaume kuoa wake wengi
Na ERIC WAINAINA MBUNGE Mwakilishi wa Kaunti ya Kiambu Gathoni wa Muchomba amewaomba wanaume katika jamii ya Agikuyu kuoa wake wengi,...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Ajuta kukopa Sh700,000 kutoka kwa benki kulipa mganga
Na WAANDIDHI WETU MWANAMUME aliyechukua mkopo kumlipa mganga amsaidie kumrudisha mkewe aliyetoroka, sasa anataka mganga huyo ashtakiwe...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Pasta atimua mke kwa kuenda kwao bila idhini
Na JOHN MUSYOKI KIAMBERE MJINI PASTA mmoja mjini hapa alishangaza majirani kwa kumfukuza mkewe alipoenda kutembelea jamaa zake...
- by adminleo
- March 12th, 2018
Lofa alishwa viboko kwa kutelekeza mke
Na TOBBIE WEKESA IKOLOMANI, KAKAMEGA Kalameni mmoja wa eneo hili alijipata pabaya baada ya mashemeji zake kumuangushia viboko...
- by adminleo
- March 5th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Mume wangu bado anafuatafuata mke wa zamani
Kwako shangazi. Nimeolewa na mwanamume ambaye alikuwa amezaa na mwanamke mwingine kabla hajanioa. Sasa nimegundua bado anamfuata mwanamke...
- by adminleo
- February 26th, 2018
Jombi achoma nguo za mke aliyemnyima asali
Na CORNELIUS MUTISYA KUSYOMUOMO, MACHAKOS KIOJA kilitokea hapa, polo alipotia kiberiti nguo za mkewe akidai alikuwa amemnyima uroda...
- by adminleo
- February 14th, 2018
FATAKI: Si lazima kuzaa au kuolewa ndipo ukamilike kama mwanamke, usiishi kuridhisha waja
Na PAULINE ONGAJI Kwa Muhtasari: Maishani mwake hajawahi kuolewa ila alibahatika kukutana na dume la miaka 65 mtandaoni Jamii...
- by adminleo
- February 13th, 2018
Mume wa wake wawili walioshtakiwa kumiliki bunduki pia akabiliwa kisheria
[caption id="attachment_1380" align="aligncenter" width="800"] Mume wa wanawake wawili Bw Ibrahim Gedi Abdile akiwa kizimbani katika...