• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 9:48 PM

SHANGAZI: Kila niendapo kwa duka lake, hulalama kuhusu mumewe

Mimi ni kijana na nilioa miaka mitatu iliyopita. Nina mtoto mmoja. Tatizo ni kwamba, kuna mwanamke mwenye biashara ya nguo. Niendapo...

Pasta ashangaza kuomba waumini idhini afurushe mkewe

Na TOBBIE WEKESA KABATI, MURANG'A PASTA wa kanisa moja la hapa aliwaacha wengi vinywa wazi alipowaomba ruhusa waumini ili amtimue mke...

Mke wa mwanamume achukuliwa na mwenzake baada ya kupoteza ubashiri wa mechi

Na CHRIS ADUNGO MWANAMUME mmoja atatazama kupoteza mkewe na kulala chumbani kwa rafiki yake wa kamari kwa wiki nzima baada ya kupoteza...

Polo aliyeokoka afichulia waumini yeye ni mpenziwe mke wa pasta

Na SAMMY WAWERU KANDARA, MURANG'A WAUMINI wa kanisa moja mtaani hapa walipigwa na mshangao jamaa aliyeamua kuokoka alipodai alikuwa...

Wa Muchomba atawataka wanaume kuoa wake wengi

Na ERIC WAINAINA MBUNGE Mwakilishi wa Kaunti ya Kiambu Gathoni wa Muchomba amewaomba wanaume katika jamii ya Agikuyu kuoa wake wengi,...

Ajuta kukopa Sh700,000 kutoka kwa benki kulipa mganga

Na WAANDIDHI WETU MWANAMUME aliyechukua mkopo kumlipa mganga amsaidie kumrudisha mkewe aliyetoroka, sasa anataka mganga huyo ashtakiwe...

Pasta atimua mke kwa kuenda kwao bila idhini

Na JOHN MUSYOKI KIAMBERE MJINI PASTA mmoja mjini hapa alishangaza majirani kwa kumfukuza mkewe alipoenda kutembelea jamaa zake...

Lofa alishwa viboko kwa kutelekeza mke

Na TOBBIE WEKESA IKOLOMANI, KAKAMEGA  Kalameni mmoja wa eneo hili alijipata pabaya baada ya mashemeji zake kumuangushia viboko...

SHANGAZI AKUJIBU: Mume wangu bado anafuatafuata mke wa zamani

Kwako shangazi. Nimeolewa na mwanamume ambaye alikuwa amezaa na mwanamke mwingine kabla hajanioa. Sasa nimegundua bado anamfuata mwanamke...

Jombi achoma nguo za mke aliyemnyima asali

Na CORNELIUS MUTISYA KUSYOMUOMO, MACHAKOS KIOJA kilitokea hapa, polo alipotia kiberiti nguo za mkewe akidai alikuwa amemnyima uroda...

FATAKI: Si lazima kuzaa au kuolewa ndipo ukamilike kama mwanamke, usiishi kuridhisha waja

Na PAULINE ONGAJI Kwa Muhtasari: Maishani mwake hajawahi kuolewa ila alibahatika kukutana na dume la miaka 65 mtandaoni Jamii...

Mume wa wake wawili walioshtakiwa kumiliki bunduki pia akabiliwa kisheria

[caption id="attachment_1380" align="aligncenter" width="800"] Mume wa wanawake wawili Bw Ibrahim Gedi Abdile akiwa kizimbani katika...