Tag: mochari
Mhudumu wa zamani akamatwa kwa ‘kusumbua’ maiti mochari
Na Evans Kipkura MAAFISA wa usalama katika Hospitali ya Rufaa ya Iten, Kaunti ya Elgeyo-Marakwet, Jumatano walimkamata mhudumu wa zamani...
- by adminleo
- March 27th, 2020
Asimulia sasabu ya kugura kazi ya upishi akawa mwosha kwa mochari
Na PHYLLIS MUSASIA Uraibu wake wa kupika vyakula mbalimbali vilivyoongezwa ladha na kurembeka, ndio kazi iliomwezesha kupata riziki ya...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Kitendawili cha maiti kusalia mochari kwa miaka 15
Na STEPHEN MUTHINI MWILI wa mwanamume kutoka kijijini Ndelekeni, eneobunge la Masinga, Kaunti ya Machakos umekwama mochari kwa miaka 15...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Waelezea jinsi wanavyopata soko kutokana na matangazo ya vifo na shughuli katika mochari
Na MWANGI MUIRURI NI sawa tu mpendwa wenu ameaga dunia ndio, lakini sisi tulio hai ni lazima tulisukume gurudumu la maisha, hilo ndilo...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Aliyedhaniwa kuwa maiti achomwa akiwa usingizini mochari
MASHIRIKA Na PETER MBURU Beaumont, Texas MFANYAKAZI wa mochari moja nchini Marekani alifariki baada ya kuteketezwa kimakosa na...
- by adminleo
- February 28th, 2019
Hoja ya Jicho Pevu kupinga ada za mochari yapitishwa bungeni
Na CHARLES WASONGA HOSPITALI za umma sasa hazitakuwa zikiitisha malimbikizi ya ada za matibabu kwa wagonjwa watakaofariki wakitibiwa...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Mwanamke aliyepelekwa mochari akiwa hai afariki hospitalini
MASHIRIKA Na PETER MBURU POLISI nchini Urusi wanachunguza kisa ambapo mwanamke wa miaka 62 alifikishwa mochari akiwa hai, baada ya kudaiwa...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Genge laiba ng’ombe 8 na kuwachinja kwa mochari
NA PETER MBURU POLISI mjini Nakuru wanawawinda genge la majambazi ambalo usiku wa kuamkia Jumanne liliiba ng'ombe wanane kutoka shamba...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Mifupa ya binadamu iliyopatikana shambani yapelekwa mochari
Na RICHARD MUNGUTI MIFUPA ya binadamu iliyookotwa katika shamba moja erneo la Ugunja Ijumaa ilipelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti...
- by adminleo
- February 12th, 2018
Marehemu arejeshwa mochari kwa kukosa pa kuzikwa
Na MOHAMED AHMED na BRIAN OCHARO Kwa Muhtasari: Familia ilikuwa imechimba kaburi na kukamilisha mipango ya mazishi wakati...