Tag: mwanasiasa ngangari
- by adminleo
- March 22nd, 2020
MWANASIASA NGANGARI: Waziri, mbunge machachari aliyekuwa mtetezi wa Moi
Na KEYB ‘MWENYEKITI’, jina ambalo Elijah Wasike Mwangale alifahamika na wengi, lilibuniwa na Rais Daniel arap Moi alipokuwa Makamu...
- by adminleo
- March 15th, 2020
MWANASIASA NGANGARI: Nabwera: Uanadiplomasia ulimzuia kutofautisha kazi ya Kanu na ya Serikali
Na KENYA YEARBOOK BOARD YAMKINI Burudi Nabwera alikuwa mmoja wa wanasiasa nchini waliopata kisomo cha kiwango cha juu katika vyuo vya...
- by adminleo
- February 23rd, 2020
MWANASIASA NGANGARI: Waziri aliyezindua huduma ya simu za mkono nchini
Na KENYA YEARBOOK BOARD CHRIS Mogere Obure alikuwa mmoja wa mawaziri waliohudumu kwa muda mrefu tangu 1984 alipoteuliwa kwa mara ya...
- by adminleo
- February 16th, 2020
MWANASIASA NGANGARI: Mwanadiplomasia nguli aliyeuawa kinyama 1990
Na KEYB ROBERT John Ouko ambaye zamani alihudumu kama Mbunge wa Kisumu Mjini, atakumbukwa kama Waziri wa Mashauri ya Kigeni nchini...
- by adminleo
- February 2nd, 2020
MWANASIASA NGANGARI: Amukowa Anangwe, waziri msomi ambaye aliboresha sekta ya afya
Na KEYB FREDERICK Dickson Amukowa Anangwe alijiunga na siasa wakati kampeni za kushinikiza siasa za vyama vingi zilikuwa zimeshika kasi...
- by adminleo
- January 26th, 2020
MWANASIASA NGANGARI: Magugu, mwandani wa Moi aliyeilainisha Wizara ya Afya
Na KEYB ARTHUR Kinyanjui Magugu alipoingia siasa akiwa na umri wa miaka 35, aliwashangaza wengi kwa kumshinda aliyekuwa Mbunge wa...
- by adminleo
- January 19th, 2020
MWANASIASA NGANGARI: John Koech, waziri aliyemshinda Moi akili, akifutwa anateuliwa tena
Na KEYB SIKU moja baada ya hafla ya mahafali katika Chuo Kikuu cha Egerton kilichoko eneo la Njoro, waziri John Koech, alinyemelea...
- by adminleo
- January 5th, 2020
MWANASIASA NGANGARI: Mzee Moi: Mlezi wa vigogo wa kisiasa nchini Kenya
Na KEYB ALIPOKUWA akichunga mifugo wa familia katika kijiji cha Kurieng’wo, Sacho, Kaunti ya Baringo, hakuna aliyedhani kuwa siku moja...
- by adminleo
- December 29th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Alibahatika kuwahudumia Mzee Kenyatta na Rais mstaafu Moi
Na KEYB NDIYE mwanamke wa kipekee ambaye aliwahi kuhudumia Rais wa kwanza nchini Hayati Mzee Jomo Kenyatta kama Katibu wake wa Masuala...
- by adminleo
- December 8th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Waziri aliyekuwa na uaminifu wa kipekee kwa Jomo
Na KEYB MATHEWS Joseph Ogutu alikuwa Waziri wa Utalii na Wanyamapori katika baraza la mawaziri la mwisho la Rais Jomo Kenyatta. Ogutu...
- by adminleo
- December 1st, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Wakili aliyetetea kundi la Maumau bila ya malipo
Na KEYB ALIKUWA shujaa halisi wa harakati za kupigania uhuru wa taifa la Kenya. Kujitolea kwake, ukakamavu na ujasiri wake ni...
- by adminleo
- November 24th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Uhasama wa Jomo, Jaramogi ulifanya Okero awike kisiasa
Na KEYB MAISHA ya kisiasa ya Isaac Edwin Omolo Okero aliyekuwa waziri na mbunge wa Gem wilayani Siaya, kati ya 1969 na 1979, yalikuwa ya...