Tag: mwanasiasa ngangari
- by adminleo
- November 10th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Waziri aliyewatimua wafanyabiashara wa Kihindi mashambani
Na KYEB ELIUD Timothy Mwamunga alikuwa mwanasiasa mtajika kutoka Pwani kabla na baada ya Kenya kupata uhuru ambaye pia alihudumu kwa...
- by adminleo
- November 3rd, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Msomi aliyeteuliwa na Mzee Kenyatta kutuliza jamii ya Waluo wakati Mboya aliuawa
Na KYEB DKT Joseph Gordon Odero-Jowi anakumbukwa kwa kutochangia lolote katika ulingo wa siasa. Alihudumu kama mbunge wa eneo la...
- by adminleo
- October 13th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Omamo: Mtaalamu wa kilimo, siasa
Na KEYB SAWA na jina lake la msimbo, ‘Kaliech’ (linalomaanisha kama Ndovu kwa lugha ya Kijaluo), mchango wa Dkt William Odongo Omamo...
- by adminleo
- October 6th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Zacharia Onyonka alifariki kabla ya kuwa Waziri wa Fedha, jambo alilotamani sana
Na KEYB MAREHEMU Dkt Zacharia Theodore Onyonka alipata umaarufu mkubwa katika jamii ya Wakisii kwa misingi kwamba ni mmoja wa wanasiasa...
- by adminleo
- September 29th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Achieng Oneko, shujaa aliyetetea ukombozi kwa kinywa kipana
Na KYEB MPIGANIAJI uhuru Ramogi Achieng Oneko atakumbukwa kwa kuwa mwanasiasa mwenye msimamo thabiti, aliyekuwa tayari kufa akiitetea...
- by adminleo
- September 21st, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Gichuru, mzalendo aliyeibuka mwiba kwa wakoloni
Na KENYA YEAR BOOK HISTORIA ya taifa hili haiwezi kuandikwa bila jina la James Samuel Gichuru, Waziri wa kwanza wa Fedha baada ya Kenya...
- by adminleo
- September 15th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Waziri Otiende alivyoweka msingi wa elimu
Na KEYB WAKATI chama cha Kenya African Union (KAU) kilipobuniwa miaka ya 1940, Otiende alikuwa mmoja wa wasomi waliotoa ushauri ambao...
- by adminleo
- September 8th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Joseph Otiende: mwalimu maafuru na mpiganiaji uhuru
Na KEYB JOSEPH D. Otiende alikuwa mwalimu, afisa wa utawala, mwanasiasa, mpiganiaji uhuru, mbunge na waziri na angali anahusika na...
- by adminleo
- September 1st, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Kiano: msomi aliyetetea wafanyabiashara nchini
Na KENYA YEAR BOOK DKT Julius Gikonyo Kiano alikuwa msomi na shujaa wa kupigania uhuru. Yeye ndiye Mkenya wa kwanza kupata shahada ya...
- by adminleo
- August 25th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Mpenda amani na mpatanishi wa wanasiasa, viongozi
Na THE KENYA YEAR BOOK MWANASIASA Lawrence George Sagini alitawala siasa za eneo la Gusii kama simba anavyowala wanyama wa mwituni kwa...
- by adminleo
- August 17th, 2019
MWANASIASA NGANGARI: Mbiyu: Mwanasiasa aliyetuliza hasira za Mzee Jomo Kenyatta
Na THE KENYA YEAR BOOK PETER Mbiyu Koinange alikuwa miongoni mwa wanafunzi wa kwanza kusomea katika Shule ya Upili ya Alliance mnamo...
- by adminleo
- August 9th, 2019
MBIYU KOINANGE: Mwanasiasa aliyetuliza hasira za Mzee Kenyatta
THE KENYA YEAR BOOK Peter Mbiyu Koinange alikuwa miongoni mwa wanafunzi wa kwanza kusomea katika Shule ya Upili ya Alliance mnamo 1926...