• Nairobi
  • Last Updated May 14th, 2024 10:01 PM

Aguero astaafu soka kwa sababu ya matatizo ya afya

Na MASHIRIKA SERGIO Aguero amesema anajivunia kipindi kizima ambacho amekuwa akitandaza soka kitaaluma na amekubali maamuzi magumu ya...

Aguero atakuwa radhi kustaafu soka mnamo Februari 2022

Na MASHIRIKA FOWADI wa Barcelona, Sergio Aguero, amesema “ana mtazamo chanya kuhusu maisha siku zote” licha ya tetesi kwamba...

Aguero kutochezeshwa na Barcelona kwa miezi mitatu ijayo baada ya kupata matatizo ya kifua

Na MASHIRIKA BARCELONA wametangaza kwamba fowadi Sergio Aguero hatacheza tena kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo baada ya kupata matatizo...

Pigo Barcelona jeraha likitarajiwa kumweka nje Aguero kwa wiki 10

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI matata wa Barcelona, Sergio Aguero, atasalia nje kwa wiki 10 kuuguza jeraha la mshipa wa mguu wake wa...

Kun Aguero ni mali rasmi ya Barcelona

Na MASHIRIKA SASA ni rasmi kwamba fowadi Sergio Kun Aguero anajiunga na Barcelona kwa mkataba wa miaka miwili baada ya kandarasi yake ya...

UEFA: Huenda Aguero asicheze kwenye fainali ya Machester City dhidi ya Chelsea

Na MASHIRIKA KOCHA Pep Guardiola amesema kwamba mshambuliaji Sergio Aguero hana uhakika wowote wa kutandaza mchuano wake wa mwisho wa...

Aguero akomesha ukame wa miezi 14 wa mabao ya EPL katika gozi kati ya Man-City na Fulham

Na MASHIRIKA SERGIO Aguero alifunga bao lake la kwanza tangu Januari 2020 mnamo Jumamosi usiku na kusaidia waajiri wake Manchester City...

Aguero arejea kwa matao ya juu na kuongoza Man-City kuzamisha Marseille kwenye UEFA

Na MASHIRIKA KOCHA Pep Guardiola anaamini kwamba fowadi Sergio Aguero hatawahi kupoteza makali yake ya kufunga mabao baada ya kurejea...