Tag: simu
- by adminleo
- January 17th, 2019
#10YearChallenge: Ithibati ya uchumi kuimarika na teknolojia kukua
Na PETER MBURU WATUMIZI wa mitandao ya kijamii nchini wamekuwa wakiendesha kampeni ambayo imepata umaarufu siku mbili zilizopita, ambapo...
- by adminleo
- December 1st, 2018
Daktari ampasua mfungwa makalio na kumtoa simu!
Na LUCY MKANYIKA MFUNGWA mmoja wa gereza la Manyani, anauguza majeraha mwilini baada ya kufanyiwa upasuaji katika hospitali ya rufaa ya...
- by adminleo
- November 28th, 2018
iPhone ni za wanawake maskini, wanaume mabwanyenye hutumia Huawei – Utafiti
MASHIRIKA na PETER MBURU UTAFITI wa hivi majuzi umetoa matokeo ya kushangaza, baada ya kubaini kuwa wengi wa watumiaji wa simu za iPhone...
- by adminleo
- September 13th, 2018
Apple yazindua simu ghali zaidi, iPhone XS Max
MASHIRIKA Na PETER MBURU Los Angeles, AMERIKA KAMPUNI ya kutengeneza simu Apple imezindua simu mpya ambayo inagharimu zaidi ya Sh100,000,...
- by adminleo
- June 26th, 2018
Aua mkewe kwa kupokea simu ya dume lingine
Na BENSON AMADALA MWANAMUME alimshambulia mke wake kwa panga katika kijiji cha Shivakala, Kaunti ya Kakamega, na kumuua kwa kupigiwa...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Vijana sasa wajipata mateka wa mikopo ya simu
Na MWANDISHI WETU MAELFU ya vijana jijini Nairobi sasa ni mateka wa madeni baada yao kushindwa kulipa mikopo wanayochukua kupitia simu...
- by adminleo
- May 16th, 2018
Mwanafunzi ashtuka kuambiwa adhabu ya kuiba simu ni kifo
Na RICHARD MUNGUTI MWANAFUNZI wa shule ya upili mwenye umri wa miaka 18 alishtakiwa Jumanne kwa wizi wa mabavu ambao adhabu yake ni kifo...
- by adminleo
- April 18th, 2018
Matrilioni ya pesa sasa hutumwa kwa simu
Na BERNARDINE MUTANU Biashara kwa kutumia simu imeendelea kuimarika nchini. Kufikia Desemba 31, 2017, Sh1.1 trilioni zilitumwa au...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Wakenya wengi wanapenda simu za Tecno – Utafiti
Na CHRIS ADUNGO KAMPUNI ya Uchina, Transsion Holdings inaongoza kwa mauzo ya simu za mkononi katika soko la Kenya kulingan na...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Kwa kila bao atakalofunga Salah, tutawapa wateja wetu dakika 11 za maongezi bila malipo, yasema Vodafone Misri
Na GEOFFREY ANENE WATEJA wa kampuni ya mawasiliano ya Vodafone nchini Misri wamo mbioni kupata dakika 11 za bure za mjazo wa simu. Kwa...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Barclays yazindua apu kuwapa wateja mikopo
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Barclays imezindua matumizi ya teknolojia ya simu ambayo yatasaidia wawekezaji wadogo kupata mikopo kwa njia...
- by adminleo
- February 19th, 2018
Dida amtaka Uhuru aheshimu Raila
Na LEONARD ONYANGO ALIYEKUWA mwaniaji wa urais Abduba Dida amemrai Rais Uhuru Kenyatta amheshimu kinara wa muungano wa NASA Raila Odinga...