Tag: taka
MAKALA MAALUM: Kero ya wakazi kugeuza makaburi ya umma majaa ya taka Mombasa
Na WINNIE ATIENO KATIKA Kaunti ya Mombasa, wafu hawalali pema kwani makaburi yamegeuzwa majaa ya takataka. Makaburi ya umma ya...
Uvundo tele Nairobi huku NMS ikizembea
Na BENSON MATHEKA MNAMO Machi 2021 Idara ya Huduma la Jiji la Nairobi (NMS) ilisema kwamba imeweka mikakati ya kuimarisha usafi katika...
Kampuni yaomba serikali kupunguza gharama ya umeme
Na SAMMY KIMATU [email protected] KIWANDA cha Halar Industries Limited ni moja ya kampuni kubwa ya usafishaji taka ya...
Wakazi sasa kusafisha jiji kila mwezi
Na WACHIRA MWANGI WAKAZI wa Kaunti ya Mombasa wametakiwa kujitwika jukumu la kuhakikisha jiji hilo ni safi kila mara kwa kujizuia kutupa...
Rundo la taka latajwa sababu ya bodaboda kugongwa na kunusurika kifo
Na PETER CHANGTOEK MWENDESHAJI mmoja wa pikipiki aliponea kwa tundu la sindano, baada ya kugongwa na gari lililokuwa likirudi nyuma,...
- by adminleo
- April 23rd, 2020
Jiji la Nairobi lingali chafu chini ya usimamizi mpya
Na CHARLES WASONGA ATHARI za hatua ya majuzi ya Gavana wa Kaunti ya Nairobi Mike Sonko kudinda kuidhinisha mgao wa Sh15 bilioni kwa...
- by adminleo
- January 21st, 2020
UBUNIFU: Mwanafunzi abadilishaye taka kuwa bidhaa za thamani
Na PETER CHANGTOEK BAADHI ya watu aghalabu hawaoni thamani yoyote iliyopo katika taka kama vile chupa za plastiki zilizotupwa na zile za...
- by adminleo
- December 7th, 2019
Utupaji holela wa taka wavuka mipaka Githurai
Na SAMMY WAWERU BW Francis Munene alipohamia Githurai 44, mtaa ulioko kiungani mwa jiji la Nairobi, hata ingawa haukuwa safi vile...
- by adminleo
- January 7th, 2019
ANENE: NEMA imesahau kazi yake barabara ya Juja, Nairobi
Na GEOFFREY ANENE WA KULAUMIWA barabara ya Juja Road kugeuzwa kuwa jaa la taka ni nani? Kwa kiwango kikubwa wafanyabiashara katika...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Uchafu kwenye mazingira ulivyozidisha athari za mafuriko mitaani
Na SAMMY KIMATU MVUA ni baraka na Wakenya wamekuwa wakiiomba inyeshe baada ya kushuhudiwa mahangaiko yaliyosababishwa na ukame na...