Tag: tanzania
- by adminleo
- June 28th, 2019
Mkenya atekwa nyara Dar es Salaam
Na AMINA WAKO MFANYABIASHARA Mkenya, Bw Raphael Ongangi alitekwa nyara Jumatatu usiku mjini Dar es Salaam, Tanzania akiwa na mke...
- by adminleo
- June 15th, 2019
Kipa mahiri Juma Kaseja asema Tanzania inaweza kutetemesha katika Afcon
Na JOHN ASHIHUNDU na MASHIRIKA DAR, ES SALAAM, Tanzania MLINDA lango mahiri Juma Kaseja amesema kikosi cha Taifa Stars kina uwezo...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Tanzania yapiga marufuku noti za Kenya
Na VALENTINE OBARA BENKI Kuu ya Tanzania imepiga marufuku ubadilishanaji wa sarafu za Kenya kwa zile za Tanzania. Taarifa...
- by adminleo
- March 26th, 2019
FAHARI TELE: Historia mataifa yote ya Afrika Mashariki kutua fainali AFCON
Na MASHIRIKA DAR ES SALAAM, TANZANIA TANZANIA waliwapepeta Uganda 3-0 jijini Dar es Salaam mnamo Jumapili na kufuzu kwa fainali za Kombe...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Familia yamlilia Uhuru aingilie kati Tanzania imwachilie huru mwanao
Na SAMUEL BAYA Familia ya kijana wa umri wa miaka 28 ambaye alipotea wiki iliyopita katika mpaka wa Kenya na Tanzania sasa inamtaka Rais...
- by adminleo
- October 18th, 2018
Hatutaki msaada wa kigeni kusaka bilionea, TZ yasema
Na MASHIRIKA TANZANIA imesema haitaomba mashirika ya kigeni kusaidia kumtafuta bilionea Mohammed Dewji aliyetekwa nyara wiki...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Kenya yaionya Tanzania kwenye mzozo wa pipi
Na BERNARDINE MUTANU Kenya imeipa makataa ya wiki mbili serikali ya Tanzania kufanyia udadisi bidhaa za Kenya kubainisha ikiwa...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Tanzania watwaa ubingwa Cecafa U-17 baada ya kuilima Somalia
Na GEOFFREY ANENE TANZANIA ndiyo mabingwa wa makala ya tatu ya mashindano ya soka ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) ya Under-17...
- by adminleo
- April 17th, 2018
Diamond akamatwa kwa kujionyesha akifanya ‘mambo’ kitandani na Hamisa
Na MWANANCHI MSANII nyota wa Bongo Naseeb Abdul Juma, almaarufu Diamond Platnumz alikamatwa na kuhojiwa na polisi Jumatatu, kwa madai ya...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Mke wa mwanamume achukuliwa na mwenzake baada ya kupoteza ubashiri wa mechi
Na CHRIS ADUNGO MWANAMUME mmoja atatazama kupoteza mkewe na kulala chumbani kwa rafiki yake wa kamari kwa wiki nzima baada ya kupoteza...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Mwanamume aliyejifanya Sabina Chege na kuwatapeli wabunge anaswa Tanzania
Na CHARLES WASONGA MWANAMUME anayehutumiwa kuwadhulumu wabunge mitandaoni na kuwapunja hela hatimaye ametiwa mbaroni na anazuiwa...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Jirongo asimulia Raila alivyomsaidia kupata kazi Tanzania
[caption id="attachment_3431" align="aligncenter" width="800"] Bw Cyrus Jirongo akihutubu awali. Picha/ Maktaba[/caption] Na BARACK...