Tag: tusije tukasahau
- by T L
- May 11th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Wavuvi walioathirika na ujenzi wa Lapsset walipwe fidia bila masharti yoyote
MNAMO Mei 1, 2018 Mahakama Kuu iliamuru serikali ilipe Sh1.76 bilioni kama fidia kwa wavuvi 4,600 katika kaunti ya Lamu walioathirika na...
- by T L
- March 12th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Dkt Alfred Mutua asije akasahau aliahidi kuzikabarati sanamu
MNAMO Juni 26, 2019 Gavana wa Machakos Alfred Mutua aliahidi kukarabati na kutunza sanamu za mashujaa wa ukombozi wa taifa hili Tom Mboya...
- by T L
- March 10th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Ripoti ya jopokazi la kulainisha sekta ya bodaboda ingali inalala
JANA Jumatano, Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i, alitangaza kuwa wahudumu wa bodaboda watasajiliwa upya katika vituo 52 vya...
- by T L
- March 8th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Polisi hawajatimiza ahadi ya kutoa taarifa ya miili iliyotupwa katika mto Yala
MNAMO Januari 19, 2022 Msemaji wa Polisi Bruno Shioso aliahidi kutoa taarifa ya kina kuhusu uchunguzi wa tukio ambapo watu walioaminika...
- by T L
- January 30th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Martha Koome asije akasahau George Odunga na majaji wenzake watano bado hawajaapishwa
JAJI Mkuu Martha Koome Ijumaa alisema kuwa Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) itahakikisha kuwa maamuzi ya majaji na mahakimu yanaheshimiwa...
- by T L
- January 26th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Yatani asije akasahau kuwa wakazi wa Marsabit na maeneo mengine ya Kaskazini Mashariki, bado wanakeketwa na njaa
MAELFU ya wananchi bado wanaathirika kwa njaa katika Kaunti ya Marsabit kutokana na hali ya ukame inayoshuhudiwa katika eneo hilo...
- by T L
- January 24th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Serikali imezembea kufanikisha utekelezaji wa Sheria ya Udhibiti wa Tumbaku ya 2007
WATAALAMU wa afya wanakubaliana kwamba uvutaji sigara unasababisha madhara ya kiafya hususan ugonjwa wa kansa ya mapafu. Nchini Kenya...
- by T L
- January 18th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Miradi ya unyunyiziaji maji imekwama
NA CHARLES WASONGA MNAMO 2015 serikali ya Jubilee ilizindua miradi kadha ya kilimo cha unyunyiziaji katika maeneo kame ya North Rift...
- by T L
- January 12th, 2022
TUSIJE TUKASAHAU: Ripoti yasema kaunti zote 47 zinadaiwa jumla ya Sh105 bilioni
RIPOTI ya hivi punde iliyotayarishwa na afisi ya Msimamizi wa Bajeti (CoB), Dkt Margaret Nyakang’o, inasema kuwa kaunti zote 47 zinadaiwa...
- by T L
- December 2nd, 2021
TUSIJE TUKASAHAU
SERIKALI kupitia Wizara ya Viwanda, Biashara na Ujasirimali imekuwa ikiendeleza sera ya “Nunua Kenya, Jenga Kenya” ili kufanikisha...