Tag: ufaransa
- by T L
- December 18th, 2022
KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Mbivu na mbichi kuhusu nani mkali kati ya Messi na Mbappe kujulikana ugani Lusail Iconic
Na MASHIRIKA MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kati ya kigogo Lionel Messi wa Argentina na nyota Kylian Mbappe wa Ufaransa itajulikana...
- by T L
- November 22nd, 2022
KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Mabingwa watetezi Ufaransa kuendea ushindi dhidi ya Australia katika Kundi D ili kuepuka mkosi wa mwaka 2002
Na MASHIRIKA LES Bleus wa Ufaransa watashuka uwanjani Al Janoub wakilenga kuzamisha chombo cha Australia katika Kundi D na kuweka hai...
- by T L
- July 25th, 2022
Warembo wa Ufaransa wabandua Uholanzi kwenye Euro 2022
Na MASHIRIKA KOCHA Corine Diacre wa Ufaransa amesema vipusa wake “wana kiu ya kuandikisha historia” baada ya kudengua mabingwa...
- by T L
- March 30th, 2022
Ufaransa wakomoa Afrika Kusini huku Giroud akikaribia kuvunja rekodi ya ufungaji mabao ya Thierry Henry
Na MASHIRIKA UFARANSA waliendeleza ubabe wa kushinda mechi saba mfululizo baada ya kutandika Afrika Kusini 5-0 mnamo Jumanne usiku...
- by T L
- November 19th, 2021
Fahamu vikosi 13 kati ya 32 ambavyo tayari vimefuzu kwa Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar
Na MASHIRIKA MWAKA mmoja kabla ya kipenga cha kuashiria mwanzo wa fainali za Kombe la Dunia za 2022 nchini Qatar kupulizwa, baadhi ya...
Ufaransa kukutana na Uhispania kwenye fainali ya UEFA Nations League baada ya kutoka nyuma na kuzamisha chombo cha Ubelgiji
Na MASHIRIKA THEO Hernandez alifunga bao mwishoni mwa kipindi cha pili na kusaidia mabingwa wa dunia Ufaransa kutoka chini kwa magoli 2-0...
Uefa yapinga pendekezo la fainali za Kombe la Dunia kuandaliwa kila baada ya miaka miwili
Na MASHIRIKA RAIS wa Shirikisho la Soka la bara Ulaya (Uefa), Aleksander Ceferin, amepinga pendekezo la kuandaliwa kwa fainali za Kombe...
Uswisi wadengua vigogo Ufaransa na kujikatia tiketi ya kuvaana na Uhispania kwenye robo-fainali za Euro
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alipoteza mkwaju muhimu katika mchuano ulioshuhudia Uswisi wakibandua mabingwa wa dunia Ufaransa kwenye hatua...
Ufaransa wakabwa koo na Hungary katika mchuano wa Euro
Na MASHIRIKA NYOTA Antoine Griezmann aliwavunia Ufaransa alama moja na kuwanyima Hungary ushindi muhimu ambao ungekuwa wa kihistoria...
- by adminleo
- April 30th, 2020
Watford wasajili chipukizi kutoka Ufaransa
Na CHRIS ADUNGO WATFORD wamemsajili kiungo Pape Gueye, 21, kwa mkataba wa miaka mitano kutoka kikosi cha Le Harve kinachoshiriki Ligi ya...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Uhuru kuenda Ufaransa kusaka wawekezaji
Na NYAMBEGA GISESA Baada ya kuhudhuria kongamano la uwezekezaji kati ya Afrika na Uingereza, Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kurudi...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Moto wateketeza Notre Dame
Na MASHIRIKA PARIS, UFARANSA MOTO mkubwa ulizuka Jumatatu na kuteketeza paa la jumba maarufu la Notre Dame jijini Paris. Wingu la moshi...