Tag: ufugaji
- by T L
- March 9th, 2022
Ustahimilivu umeimarisha ufugaji ng’ombe wa maziwa
NA SAMMY WAWERU LICHA ya wafugaji nchini kuendelea kulemewa na gharama ya juu ya malisho ya mifugo, Samuel Kinyua na babake, Joseph...
- by T L
- November 5th, 2021
Wafugaji sasa walia kupunjwa na serikali
Na STEPHEN ODUOR WAFUGAJI katika Kaunti ya Tana River, wamelalamika wakisema kuna masharti makali yaliyoekwa na serikali katika mpango...
- by T L
- October 28th, 2021
Ufugaji wa nguruwe unavyompa mkulima kipato Mwatate
NA PETER CHANGTOEK MARTIN Msafari, amekuwa akishirikiana na ndugu yake na mama yake katika shughuli ya ufugaji wa nguruwe. Mbali na...
Idadi ya vijana kwenye kilimo na ufugaji ni ya chini mno – tafiti za shirika
Na SAMMY WAWERU IDADI ya vijana wanaofanya shughuli za kilimo nchini ni ya chini mno, limesema shirika lisilo la kiserikali (NGO) kutoka...
- by adminleo
- December 5th, 2019
UFUGAJI: Ng’ombe wa maziwa sasa ndiyo ajira yake
Na RICHARD MAOSI KATIKA jamii nyingi zinazoendesha kilimo biashara, aina ya kilimo kwa mujibu wa utafiti ni ufugaji wa ng'ombe kwa ajili...
- by adminleo
- November 21st, 2019
AKILIMALI: Anatumia teknolojia kuwalisha na pia kuwanywesha ng’ombe wake
Na PHYLLIS MUSASIA KAMA wasemavyo wahenga akili ni nywele, basi Benard Kemei wa eneo la Sotik Kaunti ya Bomet, ana zake. Kwa muda wa...
- by adminleo
- November 14th, 2019
ARI YA UFANISI: Anafaidi wakulima kupitia kituo cha kuwaelimisha mbinu tofauti
Na PETER CHANGTOEK MVUA inayoendelea kunyesha na ambayo imepitiliza kiwango, katu haiwezi kumzuia Gachara Gikungu kuendelea kutoa...
- by adminleo
- September 29th, 2019
UFUGAJI: Chumvi na madini faafu kwa mifugo ni muhimu kwa uzalishaji maziwa
Na SAMMY WAWERU ALIPOANZA ufugaji wa ng’ombe wa maziwa zaidi ya miaka saba iliyopita, Gitau Kinuthia alikuwa mateka wa chumvi na...
- by adminleo
- September 5th, 2019
AKILIMALI: Ufugaji kuku njia ya lishe shuleni pamoja na pato
Na PIUS MAUNDU na CHARLES WASONGA KITU kisicho cha kawaida kilihusishwa katika uchaguzi wa viongozi wa baraza la wanafunzi katika Shule...
- by adminleo
- September 5th, 2019
USHAURI: Ukitaka kunawiri katika ufugaji; hasa wa kuku, tafadhali jiundie lishe
Na SAMMY WAWERU SUALA la chakula cha mifugo nchini kuripotiwa kutofikia ubora wa bidhaa unaotakikana si geni. Chakula 'kikamilifu'...
- by adminleo
- August 5th, 2019
Ufugaji ajira ya maana baada ya kustaafu, Sh165,000 kila mwezi
Na MWANGI MUIRURI WAKATI Bw Laurence Munyua alistaafu kutoka ajira ya serikali kama mwalimu katika shule za msingi mnamo 1994, hofu yake...
- by adminleo
- August 1st, 2019
KIU YA UFANISI: Polisi afugaye ng’ombe kwa ajili ya kuwauza
Na PETER CHANGTOEK PETER Mungai ni afisa wa polisi ambaye amewahi kuhudumu katika kitengo cha GSU katika maeneo kama vile Mandera na...