Tag: UINGEREZA
- by adminleo
- June 23rd, 2020
Phil Neville asema Guardiola amemshauri aanze kumakinikia soka ya klabu badala ya timu ya taifa
Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa timu ya taifa ya soka ya wanawake nchini Uingereza, Phil Neville, amesema kwamba mkufunzi Pep Guardiola wa...
- by adminleo
- April 17th, 2020
Mkenya anayeishi London asema kila mtu anafanyia kazi nyumbani
Na GEOFFREY ANENE Njuguna ni mkazi wa East London nchini Uingereza. Ameishi katika nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 20. Yeye ni mmoja wa...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Uingereza itakoma kutoa tahadhari za usafiri Kenya – Boris Johnson
Na PSCU WAZIRI Mkuu wa Uingereza Boris Johnson, amemhakikishia Rais Uhuru Kenyatta kwamba taifa hilo litaacha kutoa tahadhari za usafiri...
- by adminleo
- January 19th, 2020
Rais aelekea Uingereza kutafuta ufadhili
Na AGGREY MUTAMBO RAIS Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuzuru jijini London, Uingereza, kuanzia leo Jumapili kuanza juhudi za kutafuta...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Kocha kumpigania chipukizi ambaye anatishiwa maisha
Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA Gareth Southgate amesisitiza kumpigania kiungo Declan Rice wa West Ham United baada ya mwanasoka...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Kauli za Boris Johnson kuhusu Afrika zaanika hisia zake za ubaguzi
Na MASHIRIKA KAULI za zamani za Waziri Mkuu mpya wa Uingereza Boris Johnson zimezua hofu kuwa huenda uhusiano wa nchi hiyo na mataifa ya...
- by adminleo
- July 2nd, 2019
Vipusa wa Uingereza roho juu wakivizia USA
Na MASHIRIKA LYON, UFARANSA KOCHA Phil Neville wa timu ya taifa ya soka ya wanawake nchini Uingereza amesema kwamba kikosi chake...
- by adminleo
- June 8th, 2019
MASKINI! Uingereza yalimwa gozi la UEFA Nations League
Na MASHIRIKA GUIMARAES, Ureno UINGEREZA itaendelea kusubiri zaidi kupata taji lake la kwanza tangu mwaka 1966 baada ya Uholanzi...
- by adminleo
- March 21st, 2019
UTANI KANDO: Kane awarai wenzake kuzima tofauti baina yao kwa ajili ya taifa
Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza MWANASOKA Harry Kane wa timu ya taifa ya Uingereza, amesisitiza kwamba uhasama miongoni mwa wachezaji wa...
- by adminleo
- May 12th, 2018
Mwanamume kumlipa mkewe wa zamani Sh127,000 kila mwezi
Na RICHARD MUNGUTI JUHUDI za mwanaume za kupunguziwa mzigo wa kumtunza na kumpa mkewe aliyemtaliki kitita cha Sh127,000 kila mwezi maisha...
- by adminleo
- April 30th, 2018
Waziri ajiuzulu baada ya njama yake ya kufurusha wahamiaji Uingereza kuanikwa
Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Uingereza Amber Rudd alijiuzulu Jumapili jioni akikiri kuwapotosha wabunge...
- by adminleo
- March 26th, 2018
Uingereza yawapa onyo raia wake kuhusu shambulio la kigaidi Kenya
Na STELLA CHERONO UINGEREZA imetoa tahadhari ya usafiri kwa raia wake wanaoishi ama wanaotembelea Kenya dhidi ya tishio la ugaidi na...