Tag: USHOGA
- by adminleo
- May 26th, 2019
Mahakama yasifiwa kwa kuharamisha ushoga na usagaji
FARHIYA HUSSEIN NA LUCY NJESHURI VIONGOZI wa Kiislaamu Jumamosi waliungana na Wakenya kupongeza Mahakama Kuu kwa kutupilia mbali kesi...
- by adminleo
- May 24th, 2019
Mahakama yakataa kufuta baadhi ya vifungu vinavyopinga ushoga na usagaji
Na RICHARD MUNGUTI WANAOENDELEZA ushoga na usagaji nchini Kenya wameondoka katika mahakama kuu wakiwa wamesononeka baada ya tabia hiyo...
- by adminleo
- April 21st, 2019
Askofu aanza msako wa kuwatimua mashoga na wasagaji kanisani
Na CHARLES WANYORO MKUU wa Kanisa la African Independent Pentecostal Church of Africa (AIPCA) nchini, Askofu Julius Njoroge amewaamrisha...
- by adminleo
- April 11th, 2019
Tabia za ushoga zaripotiwa Juja
Na LAWRENCE ONGARO TABIA za ushoga zimeripotiwa kuenea kijijini Darasha, Juja, katika Kaunti Ndogo ya Thika. Wakazi wa kijiji hicho...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Vipusa wasagaji wa timu ya taifa ya USA kufunga ndoa
NA MASHIRIKA WACHEZAJI wawili wa kikosi cha soka ya wanawake nchini Amerika, Ali Krieger na Ashlyn Harris wamefichua mipango yao ya...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
Uamuzi kuhusu ushoga na usagaji kutolewa Mei
Na RICHARD MUNGUTI UAMUZI wa kuhusu iwapo ndoa za jinsia moja zitaruhusiwa humu nchini uliahirishwa hadi Mei 24. Walalamishi...
- by adminleo
- February 20th, 2019
80% ya mapadre wa Vatican ni mashoga – Ripoti
MASHIRIKA Na PETER MBURU MAPADRE wanne kati ya kila kikundi cha watano Jijini Vatican ambapo ni makao makuu ya kanisa Katoliki ni...
- by adminleo
- January 31st, 2019
Iran yamnyonga shoga mbele ya umma
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAUME wa miaka 31 kutoka Iran alinyongwa mbele ya umma, baada ya kupatikana na hatia ya kukiuka sheria yake...
- by adminleo
- October 25th, 2018
Ushoga ni zawadi yangu kutoka kwa Mola, mkuu wa Apple asema
CNN na PETER MBURU New York Afisa Mkuu Mtendaji (CEO) wa kampuni ya kutengeneza simu na kompyuta ya Apple Inc Bw Tim Cook amekiri kuwa...
- by adminleo
- October 18th, 2018
Unaweza kumtambua msagaji kwa kutazama vidole vyake – Utafiti
BBC na PETER MBURU UREFU wa vidole fulani vya mikono unaweza kuamua hali ya mapenzi kwa wanawake, wawe wakishiriki mapenzi ...
- by adminleo
- October 1st, 2018
Wabunge waapa kupinga juhudi za kuhalalisha ushoga
Na WINNIE ATIENO WABUNGE wamesisitiza kuwa serikali ya Kenya haitaruhusu ushoga, usagaji wala ndoa za watu wa jinsia moja...
- by adminleo
- August 28th, 2018
Mtoto ajiua kwa kusimangwa kuwa shoga
MASHIRIKA Na PETER MBURU MVULANA mchanga kutoka Marekani alijiua Alhamisi, siku nne baada ya kuanza mwaka mpya wa shule, baada ya...