Tag: voliboli
- by adminleo
- July 13th, 2019
Malkia Strikers yatinga fainali voliboli ya wanawake ya Bara Afrika
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeingia fainali ya mashindano ya voliboli ya wanawake ya Bara Afrika baada ya kulipua Senegal katika...
- by adminleo
- June 25th, 2019
GSU na Kenya Prisons watawala voliboli Taita Taveta
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Kenya General Service United (GSU) na Kenya Prisons ziliibuka wafalme na malkia wa mechi za voliboli ya taji la...
- by adminleo
- May 31st, 2019
Timu ya voliboli ya wanaume yapanga kurekebisha makosa kutafuta tiketi ya African Games
Na GEOFFREY ANENE BAADA ya kukosa makala yaliyopita kwenye michuano ya voliboli ya Bara Afrika ya Wanaume ya African Games, Kenya itakuwa...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Malkia Strikers wailima Ethiopia kunusia All African Games
Na GEOFFREY ANENE MALKIA Strikers iko pua na mdomo kuingia mashindano ya All-African Games baada ya kubwaga Ethiopia kwa seti 3-0 kwenye...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Malkia Strikers matumaini tele watabwaga Ethiopia
Na GEOFFREY ANENE KENYA inaamini iko katika nafasi nzuri ya kufukuzia ushindi wake wa pili mfululizo kwenye mchujo wa voliboli ya...
- by adminleo
- May 19th, 2019
Kenya yaifundisha Rwanda voliboli
Na GEOFFREY ANENE MALKIA Strikers ya Kenya imeanza kampeni zake za kufuzu kwa mashindano ya voliboli ya All-African kwa kishindo baada...
- by adminleo
- May 18th, 2019
Kenya tayari kutetea ubingwa wa voliboli ya wanawake Afrika
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Kenya iko tayari kutetea ubingwa wa voliboli ya wanawake ya Afrika ya Ukanda wa Tano itakayoanza jijini Kampala...
- by adminleo
- April 6th, 2019
Prisons yaingia 8-bora na kubeba matumaini ya Kenya kupata medali voliboli ya Klabu Bingwa Afrika ya wanaume
Na GEOFFREY ANENE KENYA Prisons itamenyana na Smouha katika mechi ya robo-fainali ya Klabu Bingwa Afrika ya voliboli ya wanaume baada ya...
- by adminleo
- April 3rd, 2019
GSU yapata ushindi wa kwanza voliboli ya Afrika
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Kenya, GSU, hatimaye wamepata ushindi wao wa kwanza katika mashindano ya Klabu Bingwa ya Voliboli ya...
- by adminleo
- April 1st, 2019
GSU yajikwaa Prisons ikitamba voliboli ya Klabu Bingwa Afrika
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Kenya, General Service Unit (GSU) wamesalia na masikitiko baada ya kupoteza dhidi ya Asari kutoka Libya...
- by adminleo
- March 30th, 2019
TAHARIRI: Wadau wafanye hima kuiokoa voliboli nchini
[caption id="attachment_18722" align="aligncenter" width="800"] Brackcides Agala (kulia) na Evelyne Makuto wakiichezea Kenya Pipeline ....
- by adminleo
- March 26th, 2019
Pipeline yaondolea Kenya aibu kipute cha voliboli Misri
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Pipeline kutoka Kenya imehifadhi medali ya shaba katika voliboli ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kuchabanga GS...