NA MWORIA MUCHINA
PELEGRINE falcon (Falco peregrinus) ndiye ndege anayepaa kwa kasi zaidi duniani.
Huvamia mawindo yake kutoka juu angani na anaweza kuteremka kwa kupaa kwa mwendo wa kilomita 281.6 kwa saa!
Pia anaweza kutambua mawindo akiwa mita 305 juu angani.
Ndege huyu hatengenezi kiota ila hutumia kiota chochote kilichojengwa na ndege wengine wakubwa.