NA MWORIA MUCHINA
TANDU wanaofahamika kama Giant centipedes (Scolopendra gigantea), hutambaa kwenye sakafu za misitu wakitafuta mawindo kama mijusi, vyura, nyoka na viumbe wengine wadogo.
Wanaweza kukua hadi urefu wa futi moja.
Wana miguu 46 na inasemekana wameishi duniani kwa miaka milioni 450.
Zamani viumbe hawa walikuwa wakikua hadi urefu wa futi sita.