• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 7:55 PM
Boga ajiandaa kupinga Achani mahakamani

Boga ajiandaa kupinga Achani mahakamani

NA SIAGO CECE

ALIYEKUWA mwaniaji ugavana Kwale kwa tikiti ya ODM, Prof Hamadi Boga (pichani), anajiandaa kupinga ushindi wa Bi Fatuma Achani mahakamani, imebainika.

Bw Omar Boga, ambaye ni kakake, alisema maandalizi ya kesi yanatarajiwa kukamilika wiki hii.

Wagombeaji wengine waliotishia kupinga matokeo ya uchaguzi huo hawajabainisha mipango yao kufikia sasa.

Awali Bi Achani alikuwa amesema yuko tayari kujitetea iwapo ushindi wake utapingwa, lakini baadaye akataka ushirikiano na wapinzani wake kuendeleza kaunti.

You can share this post!

NGUVU ZA HOJA: Hili swali ni gumu na vilevile rahisi, Je...

Waingereza kupata waziri mkuu mpya Jumatatu, Boris akiondoka

T L