• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM
Jumwa ajipiga kifua baada ya IEBC kumpa cheti

Jumwa ajipiga kifua baada ya IEBC kumpa cheti

NA MAUREEN ONGALA

MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, amewakejeli waliokuwa wakidai hataidhinishwa kuwania ugavana Kilifi kwa sababu ya kesi zinazomwandama.

Akizungumza Jumapili baada ya kupokezwa cheti cha uwaniaji na IEBC, Bi Jumwa anayewania kupitia kwa UDA alisema ana mipango bora ya kimaendeleo.

IEBC ilimwidhinisha pia Bw Gideon Mung’aro anayewania ugavana kwa tikiti ya ODM.

  • Tags

You can share this post!

Kibiwott na Aprot nje ya Riadha za Afrika, Conseslus ndani

Kiini cha mifugo kuvishwa ‘maski’

T L