• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 9:11 AM
Jumwa asukumwa awe naibu kiongozi UDA

Jumwa asukumwa awe naibu kiongozi UDA

Na VALENTINE OBARA

SENETA wa zamani wa Mombasa, Bw Omar Hassan, amependekeza kuwa Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, awe naibu kiongozi wa Chama cha United Democratic Alliance (UDA) wakati viongozi watachaguliwa rasmi.

Kulingana naye, mbunge huyo amesimama kidete kutetea haki za Wapwani. Alimtaka Naibu Rais William Ruto aunge mkono pendekezo hilo.

ili kudhihirisha Pwani ina nafasi bora katika UDA na vile vile kuleta usawa wa kijinsia katika uongozi wa chama.

You can share this post!

TAHARIRI: Umakinifu wahitajika sherehe zikinukia

Mkenya Shoaib Vayani achaguliwa naibu rais ulengaji shabaha...

T L