Kakamega ni kaunti nambari 037 iliyo magharibi mwa Kenya.
UKUBWA: Kilomita 3034 mraba
IDADI YA WATU: 1,867,579 kulingana na ripoti ya sensa ya mwaka 2019.
WAPIGA KURA: 841,139
MAENEO BUNGE: Likuyani, Lugari, Malava, Navakholo Lurambi, Shinyalu, Ikolomani, Khwisero, Butere, Mumias Magharibi, Mumias Mashariki, Matungu.
NA BENSON AMADALA
KAUNTI ya Kakamega ina Wadi 60.
Kwa mujibu wa Kenya National Bureau of Statistics, mwaka 2019 ilikuwa ya nne kwa idadi ya watu nchini baada ya Nairobi, Kiambu na Nakuru.
Kabla ya ugatuzi, ilihudumu kama makao makuu ya mkoa wa Magharibi. Hata sasa, mji wa Kakamega ni makao makuu ya polisi na Mshirikishi wa eneo la Magharibi.
Inasifika kwa madhari ya kupendeza kutokana na aina ya kipeke ya msitu wa Kakamega, ambao ni sehemu ya msitu wa mvua wa kitropiki.
Wakazi wa Kakamega hujihusisha na kilimo cha miwa, mahindi na ufugaji wa ngombe wa maziwa.
CHANGAMOTO: Utovu wa usalama kwenye baadhi ya sehemu za kaunti ya Kakamega kutoka na kuchipuka kwa magenge ya vijani yanao jihusisha na uahalifu. Sehemu zilizoathirika ni kama vile Matungu, Shinyalu, Ikolomani na Navakholo.
WAWANIAJI WA UGAVANA
Suleiman Sumba (KANU)
Alikuwa waziri wa Kaunti Kakamega alipostaafu jeshini.
Ana digrii ya Uchumi na shahada ya uzamifu katika usimamizi wa biashara (MBA)
Aligombea ugavana kwa mara ya kwanza mwaka wa 2017 na kupoteza.
MANIFESTO
Kuinua huduma za afya na kuanzisha kituo cha kutibu wagonjwa wa saratani. Kuinua biashara na miundo msingi.
Cyrus Jirongo (UDP)
Mbunge wa zamani Lugari.
Alizaliwa 1960 (Miaka 62)
Aliwania urais Agosti 8, 2017 akaibuka wa saba na kura 11,282. Kwenye uchaguzi uliorudiwa Oktoba 26, alivuta mkia kwa kupata kura 3,832.
MANIFESTO
Kuimarisha huduma kwa waakaji wa Kakamega na kushugulikia maswala ya afya, miundo msingi na uchumi.
Fernandes Barasa (ODM)
Alikuwa mkurugenzi mkuu wa (Ketraco).
Alizaliwa 1974 (Ana umri wa miaka 48)
Ana digrii ya kwanza na ya uzamifu katika Biashara.
MANIFESTO
Kuimarisha afya, elimu, kilimo na miundo msingi.
Jamii za vijijini kupata maji safi. Kila wadi kupokea Sh20 milioni za maendeleo. Kujenga kiwanda cha kutengeneza baiskeli.
Cleophas Malala (UDA)
Seneta wa kaunti tangu 2017.
Amewahi kuhudumu kama mwakilishi wadi kati ya 2013 hadi 2017.
Ni kati ya waliokuwa na utata kuhusiana na shahada yake digrii.
MANIFESTO:
Uimarishaji wa huduma za hospitali. Usambazaji wa maji safi vijijini. Kazi kwa vijana na uboreshaji wa barabara na masoko.
MBUNGE MWAKILISHI WA KIKE
Shiyonga Naomi Masitsa (DAP-K)
Dr Agoi Loice Faith(Kanu)
Lusweti Consolata (ANC)
Muhanda Elsie Bushile (ODM)
Juma Hadija Nganyi(UDA)
Nyangala Lydia Pamela (UDP)
Rose Ayuma Musawa (MDP)
USENETA
Washiko Sammy Oliver Aina (Jubilee)
Dkt Boni Khalwale (UDA)
Patrick Masaviro Butichi (DAP-K)
Dkt Lishenga Brian Makamu (ODM)
Keya Sellah Kadasi (Kanu)
Abuti Winfred Asiko(UDP)
Crispus Kaira Rebuahi (huru)
UBUNGE
MUMIAS MASHARIKI
David Wamatsi –ANC
Benson Mapwoni –UDA
Lucas Radoli – ODM
Peter Kalerwa Salasya – DAP-K
Philip Okomba Sakwa –Huru
Joseph Stanley N Nyarotso –Tujibebe
Paul Makokha Wesonga – Ford Asili
Leonard Musehenge – DP
Samwel Ambrose Makokha- Maendeleo DP
LUGARI:
Alex Cleland Atingo ANC
Bryan Munika Liseche – UDP
Edigar Kisanya Agonya –Huru
Patrick Davy Lihanda – Huru
Lutomia James Luchvia –SAFINA
Isaac Andabwa –DAP-K
Felemon Wanzala Otindo –Huru
Jairus Amukhoye Omaya – PDU
Henry Namiti Shitanda – Huru
Nabwera Daraja Nabii – ODM
Charles Tunga –UDA
Joseph Ogonyo Oburah – Huru
MALAVA:
Ngaira Shitanda –Ford Kenya
Isaac Mudogo Shaviya – UDP
Moses Malulu Injendi – ANC
Caleb Sunguti –DAP-K
Benjamin Nalwa – MDP
Seth Panyako – UDA
Joab B Manyasi – ODM
SHINYALU:
Anami Lisamula Silverse – ODM
Isai Patrick Murenyi Dharsshi –UDP
Ikana Fredrick Lusuli –ANC
Ligambo Ambeyi –Federal Party
Mbakaya Charles F L – Huru
Meja Adrian Mambili – Kanu
Mugali Justus Kizito – DAP-K
Shamalla Oscar Kigen – NRA
Shamia Hilary Mbalilwa – UDA
MUMIAS MAGHARIBI:
Geoffrey M Ambani – NRA
Mohammed E Rashid – UDA
Mwaka Jackline Okanya – ANC
Naicca Johnson Manya – ODM
Oloo Martin Opondo – DAP-K
Wanda Paul Ashiachi –UDP
KHWISERO:
Christopher Aseka Wangaya – ODM
Godfrey Ramoya Kanoti – ANC
NAVAKHOLO:
Vance Paul Udoto – KANU
Edwin Amakobe – Huru
Samuel Wekulo – ANC
Emmanuel Wangwe – ODM
Stanley Waiswa – UD
Livingstone Wawire – Ford Kenya
Joseph Amisi –MDP
Dalmas Nanguo –SAFINA
IKOLOMANI:
Vincent Mukhono –UDA
Yvonne Khamati DAP-K
Benard Masaka Shinali – ANC
Alex Amulyoto –Huru
Butichi Khamisi – ANC
BUTERE:
James Philip Wandahwa – Huru
Martha Shikuku – DAP-K
Michael S Keya – UDA
Valentine Opembe Malika –Jubilee
Nicholas Scott Tindi Mwale – ODM
Ruth Khasaya Oniang’o –UDP
Simon Milimo Omukhulu –Kanu
Habil Nanjendo Bushuru Korokoro – ANC
LURAMBI:
Achieng Eunice Onyango –MDP
Andati Walter Maube –UDA
Khainga Stanley Ominde – ANC
Makokha Denis Mukoya – Huru
Mukhana Titus Khamala – ODM
Vikiru Timothy Bunyali -NRA
MATUNGU:
Were David Aoko – Jubilee
Richard Evrah Masinde –Huru
Buluma Morris Indakwa –MDG
Namunyu Jeremiah Okello – Huru
Lanya Alex Wamukoya – ANC
Abworah Paul Posh –UDA
Nabulindo Peter Oscar –ODM
Achayo Paul Agutu – DAP-K
LIKUYANI:
Kagunza Stanley Ngoseywe – UDP
Kibunguchi Enoch Wamalwa – Ford Kenya
Musungu Evans Isiaho – ANC
Mweresa Joram Ombisa – DAP-K
Mugabe Innocent Maino – ODM
Nabiswa Paul Namasaka – CHAPCHAP
Nganyi Levina Were –UPA
Okoth Jerome Ogola –Huru
Wafula Deberious Sikuku – UDA