Tag: yaya
- by adminleo
- July 20th, 2020
Polo mtafuna yaya afumaniwa na mke wakati wa corona
KAPKATET, KERICHO NA NICHOLAS CHERUIYOT ILIBIDI polo wa hapa akubali kwa haraka kufanya kazi za jikoni ili kuokoa ndoa yake baada ya...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Yaya aliyejitetea bosi alimpa Sh800,000 baada ya uroda atupwa ndani
Na Joseph Ndunda Mwanamke aliyedai kuwa bosi wake alimwekelea Sh800,000 kifuani baada ya kumburudisha kimapenzi, Ijumaa alifungwa jela...
- by adminleo
- June 28th, 2019
Yaya anayedaiwa kuiba Sh1m aachiliwa kwa dhamana ya Sh700,000
Na RICHARD MUNGUTI YAYA mwenye umri wa miaka 30 ameshtakiwa kwa kumnyang’anya kimabavu mwajiri wake Sh1 milioni. Emma Njeri Wangeci...
- by adminleo
- May 27th, 2019
Yaya anaswa na kamera akimtwanga mtoto wa miezi mitatu
Na Evelyne Musambi MWANAMKE wa miaka 31 ambaye ni mfanyakazi wa nyumbani alipatikana akimchapa mtoto wa miezi mitatu wakati alipokuwa...
- by adminleo
- November 1st, 2018
Saudia yamnyonga yaya aliyemuua bosi aliyejaribu kumbaka
MASHIRIKA na PETER MBURU SAUDI Arabia Jumatatu ilimnyonga mwanamke kutoka Indonesia ambaye alipatikana na hatia ya kumuua mwajiri wake...
- by adminleo
- August 2nd, 2018
Rais Kenyatta kuamua hatima ya mtoto aliyemuua yaya
Na RICHARD MUNGUTI KATIKA kesi ya aina yake mvulana mwenye umri wa miaka 19 aliyepatikana na hatia ya kuua alipokuwa na umri wa miaka 15...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Yaya wa Wanjigi ana kesi ya kujibu – Mahakama
Na BENSON MATHEKA YAYA wa aliyekuwa waziri Maina Wanjigi (pichani) ametakiwa kujitetea kesi aliyoshtakiwa pamoja na mwanamke mwingine...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Buda akiri kanisani anakaranga yaya na mkewe kwa kikaango kimoja
Na SAMMY WAWERU MUNYU, THIKA KIOJA kilishuhudiwa katika kanisa moja mtaani hapa mzee aliyeokoka alipokiri kwamba alikuwa na uhusiano...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Yaya ajuta kugeuza nyumba ya mdosi kuwa danguro
Na SAMMY WAWERU FREE AREA, NAKURU Yaya aliyekuwa akifanya kazi kwa mama mmoja mtaani hapa, anajuta baada ya kupigwa kalamu kwa...
- by adminleo
- April 18th, 2018
Buda taabani kufanyia yaya karamu ya bethidei
Na JOHN MUSYOKI, MURANG'A MJINI KIZAAZAA kilishuhudiwa katika boma moja mjini hapa mtu na mkewe walipofokeana jamaa alipomwandalia...
- by adminleo
- February 22nd, 2018
Wajakazi waandamana wakitaka watambuliwe kama sekta rasmi
Na LUCY KILALO WAFANYAKAZI wa Nyumbani Jumatano waliandamana wakitaka kutambuliwa kama sekta rasmi humu nchini na...