• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 3:25 PM

Man-City sasa katika hatari ya kupitwa na Liverpool ligini baada ya kulazimishiwa sare tasa na Palace

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walipoteza fursa ya kufungua pengo la alama sita kati yao na nambari mbili Liverpool kileleni mwa jedwali la...

Mabingwa watetezi Man-City wakomoa Wycombe na kutinga hatua ya 16-bora katika Carabao Cup

Na MASHIRIKA RIYAD Mahrez alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Manchester City ambao ni mabingwa watetezi wa Carabao Cup kutinga...

De Bruyne, Foden kutochezea Man-City dhidi ya Spurs

Na MASHIRIKA KIUNGO Kevin de Bruyne wa Ubelgiji atakosa mchuano wa ufunguzi wa kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu...

Hazard na De Bruyne kukosa gozi kali la robo-fainali ya Euro kati ya Ubelgiji na Italia

Na MASHIRIKA INGAWA wanasoka Eden Hazard na Kevin de Bruyne watasalia kuwa sehemu ya kikosi cha Ubelgiji kwenye fainali zinazoendelea za...

Kevin de Bruyne atambisha Ubelgiji dhidi ya Denmark kwenye Euro

Na MASHIRIKA NYOTA Kevin de Bruyne aliongoza Ubelgiji ya kocha Roberto Martinez kutoka nyuma na kupepeta Denmark 2-1 katika mechi ya...

Yabainika De Bruyne aliumia jicho na kuvunjika pua wakati wa fainali ya UEFA kati ya Man-City na Chelsea

Na MASHIRIKA KIUNGO matata wa Manchester City, Kevin De Bruyne, alivunjika pua na kupata jeraha baya la jicho wakati wa fainali ya Klabu...

De Bruyne na Lukaku waongoza Ubelgiji kupepeta Wales katika gozi la kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022

Na MASHIRIKA WANASOKA Kevin De Bruyne, Thorgan Hazard na Romelu Lukaku walisaidia Ubelgiji kutoka nyuma na kuzamisha chombo cha Wales...

Pigo Man-City na Leicester masogora tegemeo De Bruyne na Vardy wakitarajiwa kusalia mkekani kwa muda mrefu

Na MASHIRIKA KIUNGO Kevin de Bruyne wa Manchester City na mshambuliaji Jamie Vardy wa Leicester City watasalia mkekani kwa kipindi...

De Bruyne kutia saini mkataba mpya Manchester City na kuingia kundi la wanasoka wanaodumishwa kwa ujira mnono zaidi EPL

Na MASHIRIKA NYOTA Kevin De Bruyne anatarajiwa sasa kuingia katika kundi moja na Pierre-Emerick Aubameyang na Mesut Ozil wa Arsenal na...

Uingereza wana kila sababu ya kutwaa taji la Euro na Kombe la Dunia – De Bruyne

Na MASHIRIKA KIUNGO wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubelgiji, Kevin De Bruyne anaamini kwamba Uingereza wana kila sababu ya...

De Bruyne kutia saini mkataba mpya utakaomvunia Sh42 milioni kwa wiki kambini mwa Manchester City

Na MASHIRIKA KIUNGO Kevin De Bruyne, 29, anatarajiwa wiki hii kutia saini mkataba wa miaka miwili utakaomshuhudia akipokezwa mshahara wa...

De Bruyne fundi wa soka aliye na hela mfano wa majani ya mkuyu!

Na CHRIS ADUNGO KEVIN De Bruyne, 27, ni kiungo mvamizi wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubelgiji. Uwezo wake wa kudhibiti mpira...