Tag: mzee moi
- by adminleo
- February 10th, 2020
Mzee Moi alikula kiamsha kinywa cha ugali kwa mboga ughaibuni
Na MARY WAMBUI MZEE Moi alikula ugali kwa mboga alipozuru mataifa ya kigeni. Aliposafiri aliandamana na wapishi wake kumwandalia mlo huo...
- by adminleo
- February 10th, 2020
‘Jogoo’ la Kanu lilipomeza ‘tinga’ la Raila
Na JUSTUS OCHIENG MAREHEMU Daniel Arap Moi atakumbukwa kama mwanasiasa ambaye alimpiga chenga Kiongozi wa ODM Raila Odinga kisiasa licha...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Wanaume watatu waliomhangaisha Moi
Na JOHN KAMAU ALIYEKUWA Rais wa pili wa Kenya hayati Daniel Arap Moi alihangaishwa na kuaibishwa na maafisa watatu wa serikali waliokuwa...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Wachezaji densi waliomtumbuiza Moi wadai Kibaki aliwadharau
NA VITALIS KIMUTAI HUKU Wakenya wakijiandaa kwa ibada ya mwisho ya Rais Mstaafu Daniel Arap Moi, wanachama wa kundi la wasakataji ngoma...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Moi atakavyozikwa kwa heshima ya kipekee
VINCENT ACHUKA na NYAMBEGA GISESA RAIS wa pili wa Kenya Daniel Arap Moi atazikwa kwa sherehe za aina yake zitakazoongozwa na...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Maziko ya Moi kuibua kumbukumbu za Jomo
Na NYAMBEGA GISESA SAFARI ya mwisho ya Rais mstaafu Daniel Moi itatoa kumbukumbu ya Mazishi ya Kitaifa ya mtangulizi wake Hayati Mzee...
- by adminleo
- February 9th, 2020
Huenda pasitokee rais atakayempiku Moi katika kufadhili michezo
Na JOHN ASHIHUNDU Haipingiki kuwa rais wa pili wa Kenya, Daniel arap Moi atakayezikwa Jumatano nyumbani kwake Kabarak, Nakuru ameacha...
- by adminleo
- February 9th, 2020
Wakazi wa Nairobi walivyojitokeza kuona mwili wa Moi
NA MARY WANGARI Wakenya wa matabaka mbali mbali jijini Nairobi Jumamosi walimiminika katika Majengo ya Bunge kutoa heshima zao za mwisho...
- by adminleo
- February 9th, 2020
Matendo ya Moi yatadumu karne nyingi – Uhuru
Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta Jumamosi alisema Rais Mstaafu Daniel Moi atakumbukwa kwa miaka mingi na Wakenya. Kwenye taarifa...
- by adminleo
- February 9th, 2020
Sababu ya Moi kubeba rungu kila alipoenda
Na WANDERI KAMAU RUNGU maalum aliyobeba Rais Mstaafu Daniel Moi wakati wa utawala wake, itakuwa miongoni mwa vifaa vitakavyowekwa karibu...
- by adminleo
- February 9th, 2020
Viongozi wa dini pia waliionja fimbo ya Nyayo
Na CHARLES WASONGA NA JUSTUS OCHIENG Rais Mstaafu Daniel arap Moi ambaye alifariki Jumanne alikabiliana vikali na viongozi wa makanisa...
- by adminleo
- February 9th, 2020
Wanawake wamsifia Moi kuwafungulia uongozi
Na BENSON MATHEKA WANAWAKE mashuhuri nchini Kenya waliohudumu wakati wa utawala wa aliyekuwa rais wa pili wa Kenya Daniel Moi wamemsifu...