Tag: tahariri
- by T L
- June 12th, 2022
TAHARIRI: Heri ahadi chache zitimiazo, kuliko rundo la hewa
NA MHARIRI MSIMU wa ahadi ndio sasa unapamba moto huku wawaniaji kila pande wakitafuta mbinu kushawishi wapiga kura. Takriban kila...
- by T L
- June 11th, 2022
TAHARIRI: Umekuwa msimu wa Ligi Kuu yenye pandashuka tele
NA MHARIRI KWA mara ya mwisho msimu huu timu za Ligi Kuu ya Soka (KPL) zitashuka dimbani kusakata mechi za kufunga msimu. Umekuwa msimu...
- by T L
- June 7th, 2022
TAHARIRI: IEBC izibe mianya ya kutilia shaka uchaguzi
NA MHARIRI TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) inafaa kujihadhari sana katika maandalizi yake ya uchaguzi ujao ili yasije...
- by T L
- June 3rd, 2022
TAHARIRI: Tusifanyie suala la ardhi mchezo kama ilivyo sasa
NA MHARIRI HUKU tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu wa Agosti 9, wanasiasa wengi wamekuwa wakitoa ahadi nyingi watakazotimiza endapo...
- by T L
- June 2nd, 2022
TAHARIRI: Uteuzi: IEBC ifuate ushauri wa EACC kuhusu wanasiasa watiliwao shaka
NA MHARIRI WIKI chache zilizopita, Tum e Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ilinukuliwa ikisema itaamua hatima ya Kinara wa Wiper kalonzo...
- by T L
- June 1st, 2022
TAHARIRI: Ni aibu kwa Haji na Kinoti kuwania ubabe raia wakilia
NA MHARIRI MVUTANO wa ubabe baina ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji na mwenzake wa Idara ya Uchunguzi wa Uhalifu...
- by T L
- May 30th, 2022
TAHARIRI: Wanasiasa watumie kampeni kuelewa matatizo ya raia
NA MHARIRI TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) hatimaye imeanza rasmi kuwaidhinisha wawaniaji wa nyadhifa mbalimbali za kisiasa...
- by T L
- May 29th, 2022
TAHARIRI: Tuwakatae wanasiasa wenye ndimi za chuki
NA MHARIRI MTINDO huu wa wanasiasa kujisahau wanapohutubia wafuasi wao kisha kuomba radhi baada ya kutoa matamshi ya uchochezi au...
- by T L
- May 26th, 2022
TAHARIRI: Viongozi waache kuingiza siasa katika mambo yahusuyo sheria
NA MHARIRI MADAI yanayotolewa na wanasiasa kuhusu utumizi mbaya wa raslimali za umma ni ya kushangaza sana. Seneta wa Bungoma Moses...
- by T L
- May 24th, 2022
TAHARIRI: Kuwe na mfumo wa kuwekeza zaidi katika elimu ya sekondari
NA MHARIRI IDADI kubwa ya watoto ambao wanashindwa kujiunga na shule za upili kwa ukosefu wa fedha kila mwaka, ni dhihirisho kuwa Kenya...
- by T L
- May 23rd, 2022
TAHARIRI: Afya ya uzazi kuhusu fistula itengewe pesa na mikakati
NA MHARIRI JUMATATU ya leo ina umuhimu mkubwa kwa Kenya. Ni siku ambapo Rais Uhuru Kenyatta anahudhuria mkutano wa 75 wa Baraza la...
- by T L
- May 21st, 2022
TAHARIRI: Kongole kwa mashujaa wetu waliofana Brazil
NA MHARIRI TUNAWAPA pongezi tele mabingwa wa Olimpiki ya Viziwi mwaka huu ambao walirejea nyumbani mnamo Alhamisi kutoka jijini Caxias...