• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 8:22 PM

ANA KWA ANA: Washikaji walioleta nguvu mpya kwenye gemu

Na THOMAS MATIKO TASNIA ya muziki wa Kenya inazidi kukua japo kwa utaratibu katika nyanda tofauti tofauti. Upande mmoja wa tasnia...

ANA KWA ANA: ‘Niko singo sana, bado namsaka Johnny…’

Na THOMAS MATIKO JUMANNE wiki hii, diva wa Afro Pop, toto la Kinigeria Yemi Alade alitua nchini kwa ajili ya pati yake mahsusi...

ANA KWA ANA: ‘King Kaka na Naiboi wananisapoti sana’

Na THOMAS MATIKO MIONGONI mwa wanamuziki chipukizi wanaoonyesha jitihada za kufa mtu ili kuweza kusimamisha brandi zao kwenye gemu humu...

ANA KWA ANA: ‘Nimepiga shoo kibao ila Kenya mmenikubali’

Na THOMAS MATIKO JUMAMOSI iliyopita Konshens, mkali wa Dancehall kutoka Jamaica alikinukisha katika uwanja wa Ngong Racecourse alikopiga...

ANA KWA ANA: Baada ya kutoka jela, sasa arejea kivingine

Na THOMAS MATIKO BAADA ya kutoka jela kule Bongo, Joe Kariuki, Afisa Mkuu Mtendaji wa Candy n Candy, karudi tena kwenye...

ANA KWA ANA: ‘Nitapambana na hali yangu hadi kieleweke’

Na THOMAS MATIKO SIJUI kama utakuwa unamkumbuka msanii Abel Loshilaa Motika aliyefahamika zaidi kwa jina lake la stejini Mr...

ANA KWA ANA: Beats kalikali zamgeuza kipenzi cha wanamuziki

Na THOMAS MATIKO VICTOR Mutungi ni mmoja kati ya wadau wakubwa wa muziki wa kisasa ndani ya +254. Ukiwauliza mastaa wanaofanya vizuri...

ANA KWA ANA: Stori yake ni kama telenovela

Na THOMAS MATIKO KWENYE tuzo za injili za Groove Awards 2019 zilizofanyika mwezi uliopita, jina la msanii Revival lilikuwepo kwenye...

ANA KWA ANA: Ngoma tata ila zazidi kutetemesha tasnia

Na PAULINE ONGAJI HII wikendi watakuwa miongoni mwa wasanii watakaomfungulia jukwaa kigogo wa AfroBeat Femi Kuti katika makala ya 26 ya...

ANA KWA ANA: ‘Si mgonjwa wala sikumbaka yeyote’

Na THOMAS MATIKO IKIWA ni zaidi ya miezi mitano sasa tangu itokee ile skendo ya ngono iliyomuhusisha msanii wa injili DK Kwenye Beat...

ANA KWA ANA: ‘Kwangu mimi ndio kusema, ndio ndume’

Na THOMAS MATIKO MWANAMUZIKI wa injili Kevin Bahati sio mgeni kwa wengi. Alianza sanaa akiwa bwana mdogo mtulivu na mnyenyekevu,...

ANA KWA ANA: Zaidi ya mwongo sasa na bado anatesa aisee!

Na THOMAS MATIKO JUDITH Nyambura Mwangi al-maarufu Avril ni mwanamuziki wa siku nyingi tu. Toka aingie kwenye gemu, ni zaidi ya mwongo...