• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 8:55 PM

Arsenal kuanza mazoezi chini ya masharti makali

Na CHRIS ADUNGO WACHEZAJI wa Arsenal wamepangiwa kurejea kambini kuanza mazoezi katika uwanja wa London Colney, Uingereza kwa minajili...

Chelsea yahemea huduma za Aubameyang wa Arsenal

Na CHRIS ADUNGO KOCHA Frank Lampard amefichua kwamba kikosi chake cha Chelsea kitakuwa sokoni mwishoni mwa msimu huu kujinasia huduma za...

Wachezaji wa Arsenal wakubali kukatwa mishahara

NA CHRIS ADUNGO WACHEZAJI wa Arsenal huenda wakawa wa kwanza katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kukubali kunyofolewa mshahara baada ya...

Arsenal matumaini yote sasa ni kwa Kombe la FA

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza MKUFUNZI wa Arsenal, Mikel Arteta amewataka vijana wake kuweka kando maruerue ya kubanduliwa nje ya...

MASIKITIKO! Arsenal yachabangwa 2-1 na Olympiacos

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza ARSENAL ilichabangwa 2-1 na Olympiacos na kubanduliwa nje ya Ligi ya Uropa kwa mabao ya ugenini, baada...

HAPO SASA! Arsenal guu moja mbele raundi ya 32-bora Uropa

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza STRAIKA Alexandre Lacazette alipachika bao lililowezesha Arsenal kuzamisha Olympiacos 1-0, kwenye...

Matumaini ya Arsenal UEFA yangali finyu

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA LICHA ya Arsenal kuwapepeta Newcastle United 4-0 na kupaa hadi nafasi ya 10 kwenye msimamo wa jedwali...

Arsenal sasa majogoo wa kulazimisha sare

Na GEOFFREY ANENE ARSENAL imeendelea kuvuma kama wafalme wa kugawana alama kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kupiga sare yake...

WAKO NDANI: Arsenal kifua mbele FA

Na MASHIRIKA KINGS PARK, Uingereza KOCHA Mikel Arteta amefurahia kiwango cha makinda wake walioandikisha ushindi wa 2-1 ugenini dhidi...

‘SUPASTAA’ MARTINELLI: Tineja aifungia Arsenal mabao 10 katika msimu mmoja

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KINDA Gabriel Martinelli mwenye umri wa miaka 18, alifunga bao la kusawazisha dhidi ya Chelsea, na...

AMHITAJI WENGER: Ljungberg kushauriwa kabla ya Arsenal kualika Brighton

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza KOCHA wa muda, Freddie Ljungberg anapanga kushauriwa na mkongwe Arsene Wenger kabla ya Arsenal kucheza...

NJE! Kichapo cha Europa kilizamisha kabisa chombo cha Emery

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza UNAI Emery sasa si kocha wa Arsenal tena, baada ya kuangukiwa na shoka hapo Ijumaa. Emery ambaye...