Tag: chokoraa
LEONARD ONYANGO: Watoto wa mitaani wasidhulumiwe kwa jina la kusafisha mji
Na LEONARD ONYANGO WATOTO wa mitaani, almaarufu chokoraa, wanaorandaranda katikati mwa jiji la Nairobi, Jumatano jioni, walijipata...
- by adminleo
- June 12th, 2020
‘Kenya ina watoto wa mitaani zaidi ya 46,000’
NA STEVE OTIENO Sensa ya kitaifa iliyofanywa hapo 2019 imefichua kwamba Kenya ina watoto wa mitaani zaidi ya 46,000. Ripoti hiyo...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Masaibu ya chokoraa wakati wa kafyu
Na SAMMY WAWERU Kwa zaidi ya miezi miwili iliyopita, Kenya imekuwa ikitekeleza kafyu ya usiku, inayoanza saa moja za jioni hadi saa kumi...
- by adminleo
- December 15th, 2019
Mwili wa chokoraa aliyezama mtoni akiwa na pingu wapatikana
NA TITUS OMINDE Mwili wa kijana wa kurandaranda mjini Eldoret ambaye alizama katika mto Sossian akiwa amefungwa pingu umepatikana...
- by adminleo
- November 24th, 2019
Chokoraa aliyepigwa risasi na polisi alilia haki
Bw Kaka Karanja anasema juhudi zake za kupata msaada kutoka kwa polisi zimegonga mwamba.Alisema alikuwa akitembea barabarani...
- by adminleo
- October 31st, 2019
Mpango wa kuimarisha maisha ya vijana wanaorandaranda Nakuru
Na GEOFFREY ONDIEKI IDADI ya vijana wa kurandaranda mitaani wasio na makao inazidi kuongezeka kila kukicha Nakuru licha ya serikali ya...
- by adminleo
- August 19th, 2019
Kaunti yatakiwa kubuni sera ya kupunguza chokoraa jijini
NA COLLINS OMULO KAUNTI ya Nairobi imetakiwa kuunda sera kuhusu njia ya kuwarekebisha tabia watoto wa kurandaranda mitaani maarufu kama...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Chokoraa waelezea hofu yao kaunti ikianza kuwasajili
NA RICHARD MAOSI Vijana wa kurandaranda mitaani ya Nakuru wameelezea hofu yao baada ya serikali kuanzisha shughuli ya kuwasajili ili...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
Dai chokoraa walitelekezwa na kaunti lachunguzwa na seneti
Na ERIC MATARA MZOZO uliozuka baada ya serikali ya Kaunti ya Nakuru kuwatelekeza watoto wa kurandaranda mitaani waliowasafirisha na...
- by adminleo
- February 18th, 2019
Chokoraa 36 wataka waelezwe waliko wenzao 5
NA RICHARD MAOSI CHOKORAA wanaozurura mjini Nakuru, sasa wanataka kuelezewa waliko wenzao watano kati ya 41 waliotupwa eneo la Torongo,...
- by adminleo
- February 13th, 2019
Kimani Ngunjiri amkejeli gavana kwa kutelekeza watoto
NA RICHARD MAOSI MBUNGE wa Bahati Kimani Ngunjiri amemshtumu gavana wa Nakuru Lee Kinyanjui kwa 'kuwatupa' zaidi ya watoto 41, katika...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Chokoraa waliosafirishwa Baringo warejeshwa Nakuru
Na PETER MBURU WAKAZI wa eneo la Sawich, kaunti ya Baringo walipigwa na butwaa walipoamka na kupata kikundi cha watoto 41 wa...