Tag: domo kaya
- by adminleo
- February 28th, 2020
DOMO KAYA: Ewe chipukizi kabla jina lako lijulikane, jipe miaka kama minane
Na MWANAMIPASHO MADAM Boss au ukipenda Akothee tumemzoea kwa posti za kuchamba hasa ukiwa wewe ni mkosoaji wake. Lakini juzi kuna...
- by adminleo
- February 14th, 2020
DOMO KAYA: Mungu akulaze pema
Na MWANAMIPASHO MAZISHI yake Rais wa pili wa taifa hili Hayati Daniel Toroitich Arap Moi yalikamilika rasmi Jumatano ambapo alilazwa...
- by adminleo
- February 7th, 2020
DOMO KAYA: Kumbe ni kutuchocha tu!
Na MWANAMIPASHO MWANZO kabisa acha nianze kwa kutoa risala zangu kwa mwendazake Rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi aliyefariki...
- by adminleo
- January 31st, 2020
DOMO KAYA: Mapenzi yana wenyewe!
Na MWANAMIPASHO OYA hivi mmesikia mapya? Mzee baba Juma Jux katemana na Mchina wake Naika ikiwa ni miezi minne mitano hivi baada ya...
- by adminleo
- January 24th, 2020
DOMO KAYA: Size 8, DJ Moh kutoza wageni elfu 10 Valentino
Na MWANAMIPASHO HAYA mwana Valentine Dei hiyo inakaribia japo ipo mbali kidogo, kama wiki tatu hivi zimesalia. Naambiwa tarehe hiyo...
- by adminleo
- November 22nd, 2019
DOMO KAYA: Wambea tumeachwa hoi!
Na MWANAMIPASHO WAMBEA juzi tumeachwa hoi jamani. Tumebaki kuonekana mafala. Kuna picha mbili zilizojitokeza ambazo zilituacha...
- by adminleo
- November 15th, 2019
DOMO KAYA: Namumisi Moustapha, aisee mwambieni arudi
Na MWANAMIPASHO WANASEMA muziki mgumu ndiyo maana wapo wasanii wamekuja wakipotea. Ila sikutegemea kabisa mshikaji wangu Colonel...
- by adminleo
- November 8th, 2019
DOMO KAYA: Masista, inauma lakini itabidi mzoee
Na MWANAMIPASHO KUNA wimbo Ethic wameachia juzi Tarimbo ambao umewakuna pabaya kina dada. Kikweli huu wimbo huwezi kuusikiza sebuleni...
- by adminleo
- September 20th, 2019
DOMO KAYA: ‘Kalikuwa katoto hodari’!
Na MWANAMIPASHO KUNA jambo limenisikitisha sana. Wiki iliyopita mwanamuziki wa WCB Mbosso Khan alikutwa na msiba. Ule msiba...
- by adminleo
- July 26th, 2019
DOMO KAYA: Hekaya za Zari na Diamond
Na MWANAMIPASHO AISEE! Nikuambie kitu? Kama kuna suala moja ambalo limenishinda kufuatilia kabisa ni hivi visanga vya Diamond na...
- by adminleo
- June 7th, 2019
DOMO KAYA: Pwagu kapatana na pwaguzi
Na MWANAMIPASHO HAYA buana sijui nianzie wapi. Nimemsikia bwana mkunaji akilalamika eti kaibiwa wazo alilokuwa nalo la wimbo mpya...
- by adminleo
- May 24th, 2019
DOMO KAYA: Penzi litafanya uchekwe!
Na MWANAMIPASHO KUVUNJIKA kwa uhusiano wa kimapenzi kati ya mastaa wa Bongo Flava Vanessa Mdee na mtanashati wake Juma Jux kikweli...