• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 9:48 PM

DOMO KAYA: Ewe chipukizi kabla jina lako lijulikane, jipe miaka kama minane

Na MWANAMIPASHO MADAM Boss au ukipenda Akothee tumemzoea kwa posti za kuchamba hasa ukiwa wewe ni mkosoaji wake. Lakini juzi kuna...

DOMO KAYA: Mungu akulaze pema

Na MWANAMIPASHO MAZISHI yake Rais wa pili wa taifa hili Hayati Daniel Toroitich Arap Moi yalikamilika rasmi Jumatano ambapo alilazwa...

DOMO KAYA: Kumbe ni kutuchocha tu!

Na MWANAMIPASHO MWANZO kabisa acha nianze kwa kutoa risala zangu kwa mwendazake Rais mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi aliyefariki...

DOMO KAYA: Mapenzi yana wenyewe!

Na MWANAMIPASHO OYA hivi mmesikia mapya? Mzee baba Juma Jux katemana na Mchina wake Naika ikiwa ni miezi minne mitano hivi baada ya...

DOMO KAYA: Size 8, DJ Moh kutoza wageni elfu 10 Valentino

Na MWANAMIPASHO HAYA mwana Valentine Dei hiyo inakaribia japo ipo mbali kidogo, kama wiki tatu hivi zimesalia. Naambiwa tarehe hiyo...

DOMO KAYA: Wambea tumeachwa hoi!

Na MWANAMIPASHO WAMBEA juzi tumeachwa hoi jamani. Tumebaki kuonekana mafala. Kuna picha mbili zilizojitokeza ambazo zilituacha...

DOMO KAYA: Namumisi Moustapha, aisee mwambieni arudi

Na MWANAMIPASHO WANASEMA muziki mgumu ndiyo maana wapo wasanii wamekuja wakipotea. Ila sikutegemea kabisa mshikaji wangu Colonel...

DOMO KAYA: Masista, inauma lakini itabidi mzoee

Na MWANAMIPASHO KUNA wimbo Ethic wameachia juzi Tarimbo ambao umewakuna pabaya kina dada. Kikweli huu wimbo huwezi kuusikiza sebuleni...

DOMO KAYA: ‘Kalikuwa katoto hodari’!

Na MWANAMIPASHO KUNA jambo limenisikitisha sana. Wiki iliyopita mwanamuziki wa WCB Mbosso Khan alikutwa na msiba. Ule msiba...

DOMO KAYA: Hekaya za Zari na Diamond

Na MWANAMIPASHO AISEE! Nikuambie kitu? Kama kuna suala moja ambalo limenishinda kufuatilia kabisa ni hivi visanga vya Diamond na...

DOMO KAYA: Pwagu kapatana na pwaguzi

Na MWANAMIPASHO HAYA buana sijui nianzie wapi. Nimemsikia bwana mkunaji akilalamika eti kaibiwa wazo alilokuwa nalo la wimbo mpya...

DOMO KAYA: Penzi litafanya uchekwe!

Na MWANAMIPASHO KUVUNJIKA kwa uhusiano wa kimapenzi kati ya mastaa wa Bongo Flava Vanessa Mdee na mtanashati wake Juma Jux kikweli...