• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 8:50 AM

Simba SC yatangaza rasmi kutalikiana na Kahata, kiungo huyo sasa anamezewa mate na Al-Merrikh Sudan

Na GEOFFREY ANENE NI rasmi sasa kuwa Mkenya Francis Kahata si mchezaji wa Simba SC baada ya klabu hiyo kutangaza Jumamosi imeagana naye...

Nyota wa klabu za ‘majuu’ kutegemewa Kenya dhidi ya Zambia kirafiki

Na CHRIS ADUNGO KIUNGO Francis Kahata wa Simba SC nchini Tanzania na kipa Ian Otieno wa Zesco United nchini Zambia, ndio wanasoka wa...

Kahata asherehekea timu yake ya Simba ikiibuka bingwa wa Ligi Kuu Tanzania

Na GEOFFREY ANENE KIUNGO Mkenya Francis Kahata alishinda Ligi Kuu Bara katika msimu wake wa kwanza na Simba SC baada ya timu hiyo...

Kahata arejea kambini mwa Simba SC huku ligi kuu ya TZ ikirejelewa rasmi Juni 13

Na CHRIS ADUNGO KIUNGO matata wa Harambee Stars, Francis Kahata aliwasili jijini Dar es Salaam, Tanzania kuungana na wanasoka wenzake wa...