Tag: KRISMASI
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Maandalizi ya Krismasi yashika kasi
Na WAANDISHI WETU WAKENYA katika pembe tofauti za nchi wamezidisha maandalizi ya sherehe ikiwa imesalia siku moja tu kabla ya...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Jinsi ya kuwa salama wakati huu wa Krismasi
Na MWANDISHI WETU Katika msimu wa Krismasi, watu wengi huzingatia sana sherehe na kusahau usalama wao na mali yao. Hata hivyo,...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Hatari ya kujianika mitandaoni msimu huu wa Krismasi
Na MWANDISHI WETU WAKATI wa msimu wa Krismasi, watu wengi huzama kwenye sherehe na kusahau usalama wao na mali yao. Hata hivyo,...
- by adminleo
- December 17th, 2019
Operesheni kali barabarani msimu wa sherehe ukianza
JOHN NJOROGE na STANLEY NGOTHO POLISI wameanzisha msako mkali dhidi ya ukiukaji sheria za barabarani msimu huu wa sherehe za...
- by adminleo
- December 10th, 2019
Krismasi: Hali ya usalama yaimarishwa Pwani
SIAGO CECE na WINNIE ATIENO SERIKALI imezidi kuimarisha usalama katika eneo la Pwani wakati huu wa msimu wa likizo ya sherehe za...
- by adminleo
- December 4th, 2019
Korea Kaskazini yaahidi Trump ‘zawadi ya Krismasi’
Na AFP KOREA Kaskazini imeadhimisha mwanzo wa msimu wa sherehe za Krismasi kwa kuiahidi Amerika “zawadi ya Krismasi’” iwapo...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Kauli za watoto kuhusu Krismasi
Mwanahabari wetu Sammy Kimatu alitangamana na wanafunzi wa Amazing Grace Academy, Kaiyaba, Kaunti ya Nairobi kuhusu uelewa wao wa...
- by adminleo
- November 15th, 2019
KRISMASI: Mbuzi kwa wateja 1,000, kila mfanyakazi kutuzwa Sh10,000
NA FAUSTINE NGILA KAMPUNI ya uuzaji wa ardhi na mashamba Username Investments Ltd imetangaza kuwashukuru wateja na wafanyakazi wake...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Nusura avishwe tairi kwa kuchungulia wanandoa wakilishana asali
Na LUDOVICK MBOGHOLI Kasarani, Mombasa Kalameni mmoja mtaani hapa nusura ateketezwe na wanakijiji walioshuku kwamba alikuwa mwizi...
- by adminleo
- December 28th, 2018
Amuua mkewe kwa kununua viatu vya Krismasi bila kumjulisha
Na KNA SHEREHE za Krisimasi ziligeuka kuwa mkasa kwa familia moja katika mtaa duni wa Mawingo, Kaunti ya Pokot Magharibi, baada ya...
- by adminleo
- December 28th, 2018
Mshubiri wa Krismasi kwa familia baada ya mauti kubisha
Na LUCY MKANYIKA na GERALD BWISA FAMILIA mbili katika kaunti za Taita Taveta na Trans Nzoia zinaomboleza kufuatia mikasa wakati wa...
- by adminleo
- December 27th, 2018
KRISMASI: Polo aliyedai ameenda kesha atiwa adabu na kisura alipofumaniwa kwa mama pima
Na TOBBIE WEKESA Adanya, TESO Kizaazaa kilizuka katika boma moja la hapa baada ya kipusa kumpa mumewe kichapo kikali alipompata kwa...