• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 2:33 PM

KIU YA UFANISI: Kwa mtaji wa kuku wa Sh10,000 hujipatia Sh20,000 kila mwezi

Na PETER CHANGTOEK ALIANZA kujishugulisha na kilimo cha ufugaji wa kuku takribani mwaka mmoja uliopita, na kwa sababu zaraa hiyo...

Watatu wachomwa kwa kuiba kuku kijijini

Na ALEX NJERU MSHUKIWA wa wizi wa kuku alichomwa hadi kufa huku wenzake wawili wakijeruhiwa vibaya katika kijiji cha Kamutuma kaunti...

USHAURI: Ukitaka kunawiri katika ufugaji; hasa wa kuku, tafadhali jiundie lishe

Na SAMMY WAWERU SUALA la chakula cha mifugo nchini kuripotiwa kutofikia ubora wa bidhaa unaotakikana si geni. Chakula 'kikamilifu'...

AKILIMALI: Anatumia kozi ya teknolojia kuboresha ufugaji wa kuku

Na SAMMY WAWERU KILOMITA chache kutoka barabara kuu ya Thika-Garissa, Regina Njeri ana kila sababu ya kutabasamu kufuatia kuimarika kwa...

AKILIMALI: Mfanyakazi wa kaunti anayepiga jeki pato kupitia ukulima, ufugaji

Na LUDOVICK MBOGHOLI JOHN Mbai ni miongoni mwa maafisa wachache wa kaunti ya Taita Taveta wanaofanya kazi kwenye kaunti ndogo ya Taveta,...

UFUGAJI: Umuhimu wa maji kwa kuku

Na SAMMY WAWERU KUKU wanafugwa kwa minajili ya ama mayai au nyama. Ufanisi katika ufugaji wa ndege hawa unaegemea vigezo...

MAPISHI: Jinsi ya kupika minofu ya kuku yenye siagi

Na MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 15 Muda wa mapishi: Nusu saa Walaji:...

4 wanaswa na DCI kwa kuua mshukiwa wa wizi wa kuku

Na PETER MBURU POLISI kutoka Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) Jumapili waliwakamata wanaume wanne eneo la Shinyalu, Kaunti ya Kakamega,...

MAPISHI: Jinsi ya kuandaa vipapatio vya kuku vyenye asali

Na MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 20 Muda wa kupika: Dakika 40 Walaji:...

Husubiri hatua ya uanguaji kuhakikisha thamani ya mayai iko juu

Na SAMMY WAWERU MARGARET Njeri Maina amekuwa kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji wa kisasa maarufu kama ‘kuroilers’ kwa muda wa miaka...

MAPISHI: Pilau ya kuku

Na MARGARET MAINA [email protected] MUDA wa kuandaa: Dakika 15 Muda wa kupika: Dakika 30 Walaji:...

UFUGAJI: Masuala muhimu kuzingatia kabla kuanza kufuga kuku

Na SAMMY WAWERU UFUGAJI wa kuku ni miongoni mwa sekta ambapo wengi wameingilia ili kujiinua kimapato. Wanafugwa kwa ajili ya nyama na...