Tag: kuria
- by adminleo
- April 9th, 2020
Hisia mseto kuhusu habari kwamba wabunge 17 wana virusi vya corona
Na CHARLES WASONGA HABARI kwamba vikao vya Bunge la Kitaifa na Seneti wiki hii vilifutiliwa mbali baada ya kubainika kuwa baadhi yao...
- by adminleo
- March 12th, 2020
Korti yatupa kesi ya uchochezi dhidi ya Kuria
Na Richard Munguti MAHAKAMA Alhamisi ilitupilia mbali kesi ya uchochezi dhidi ya Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria. Bw Kuria...
- by adminleo
- February 3rd, 2020
Uhuru aadhibu wasiofuata nyayo zake
Na WANDERI KAMAU WANASIASA ambao wanakosa kufuata nyayo za Rais Uhuru Kenyatta wanapitia kipindi kigumu kwa misimamo yao ya kisiasa, na...
- by adminleo
- January 11th, 2020
Tangatanga wachemka Kuria akilala ndani wikendi
Na BENSON MATHEKA KUNDI la wabunge wanaomuunga Naibu Rais William Ruto, maarufu kama Tangatanga, limelaumu serikali kwa kuwahangaisha...
- by adminleo
- December 9th, 2019
Wandani wa Ruto wataka Raila astaafu na Uhuru
NA PIUS MAUNDU WANDANI wa Naibu Rais Dkt William Ruto sasa wanamtaka Kinara wa ODM Raila Odinga astaafu siasa pamoja na Rais Uhuru...
- by adminleo
- August 8th, 2019
Kuria apinga pendekezo la Duale kuondoa mfumo wa urais
Na NDUNGU GACHANE MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria amepuuzilia mbali pendekezo la Kiongozi wa Wengi Bungeni, Bw Aden Duale, la...
- by adminleo
- July 21st, 2019
Kuria ajiona kama ‘zawadi’ kwa Wakenya
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini sasa anadai kuwa ndiye zawadi ya Kenya kutoka kwa Mungu, ambayo itawashikanisha Wakenya...
- by adminleo
- June 22nd, 2019
Kuria ataka bunge libuni wadhifa wa Waziri Mkuu
Na ERIC WAINAINA MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria, ameunga mkono pendekezo la kubuniwa kwa wadhifa wa Waziri Mkuu na manaibu wawili...
- by adminleo
- June 19th, 2019
Kuria: Mimi ni wa pili kwa umaarufu Kisumu baada ya Raila
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini, Moses Kuria ameibua ucheshi baada ya kujigamba kuhusu umaarufu wake eneo la Luo Nyanza, hasa...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Kuria ashangaa handisheki bado haimtoi kortini
RICHARD MUNGUTI na VALENTINE OBARA MBUNGE wa Gatundu Kusini, Bw Moses Kuria ameshangaa kwamba kesi yake kuhusu uchochezi dhidi ya...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Kiburi kitakatiza ndoto yako ya Ikulu, Kuria amuonya Ruto
Na PETER MBURU MBUNGE mtatanishi kutoka Gatundu Kusini Moses Kuria amemkashifu Naibu Rais William Ruto kwa kuangazia maisha yake ya...
- by adminleo
- February 13th, 2019
Zogo lachacha Kuria na Duale wakikabana koo
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Wengi bungeni, Adan Duale na mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria, wametofautiana vikali kufuatia madai ya...