Tag: LUGHA
- by adminleo
- June 4th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Matumizi ya vihisishi katika sajili isiyo rasmi
Na MARY WANGARI AGHALABU mazungumzo ya kawaida huandamana na matumizi ya vihisishi kama vile eeh! mmh! aah! Vihisishi vilivyozoeleka...
- by adminleo
- May 31st, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Matumizi ya viziada lugha katika sajili isiyo rasmi
Na MARY WANGARI KATIKA sajili isiyo rasmi, kuna matumizi ya viziada lugha mathalani kuashiria kwa vidole, kukonyeza jicho, kuonyesha...
- by adminleo
- May 14th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Kuzungumza au kuwaza kwa haraka na kubadili msimbo
Na MARY WANGARI Kuzungumza au kuwaza kwa haraka AGHALABU mtu anapokuwa na hisia kama vile furaha au hasira, hulazimika kuzungumza kwa...
- by adminleo
- May 14th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Kiini cha makosa katika lugha
NA MARY WANGARI BAADHI ya visababishi vya makosa katika lugha ni jinsi ifuatavyo: Maumbo Baadhi ya watu katika jamii hupuuza mofu...
- by adminleo
- April 30th, 2019
ADUNGO: Kiini cha tofauti za matumizi ya lugha katika miktadha mbalimbali
NA CHRIS ADUNGO MATUMIZI ya lugha ni namna ambavyo wazungumzaji hutumia lugha kwa kuzingatia mila, desturi na kaida mbalimbali za jamii...
- by adminleo
- April 29th, 2019
Nancy Macharia anashindwaje kujieleza kwa Kiswahili?
NA HENRY INDINDI WIKI iliyopita Jumatano katika uangalizi wa mafunzo ya mfumo mpya wa elimu wa umilisi na utendaji (CBC), nilishuhudia...
- by adminleo
- April 25th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Uhusiano uliopo kati ya Isimujamii na taaluma nyinginezo
Na MARY WANGARI Uhusiano kati ya Isimujamii na Saikolojia TAALUMA za isimujamii na saikolojia hushughulikia swala la mielekeo...
- by adminleo
- April 25th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Tathmini ya asili na miundo mbalimbali ya methali
Na WANDERI KAMAU METHALI ni kifungu cha maneno yanayotumiwa pamoja kisanii kwa njia ya kufumba au kutolea mfano na huchukua maana pana...
- by adminleo
- April 20th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Lahaja za Kiswahili na maeneo zinakozungumzwa
Na MARY WANGARI KISWAHILI ni lugha inayosheheni lahaja chungu nzima. Japo wataalamu hawajaafikiana kuhusu idadi kamili ya lahaja zenyewe...
- by adminleo
- April 18th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Kukua na kuenea kwa Kiswahili nchini Tanzania baada ya uhuru
Na ALEX NGURE NILIPOZURU Dar Tanzania mwaka 2018 niligundua kwamba Tanzania imeonekana kukipatia Kiswahili hadhi na heshima hata kabla ya...
- by adminleo
- April 18th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Njia faafu ya kulitanguliza somo la Fasihi Andishi kwa wanafunzi
Na CHRIS ADUNGO KABLA ya kuwatanguliza wanafunzi katika somo la Fasihi Andishi na kuanza kusoma kitabu chochote kile, ni vyema kwa mwalimu...
- by adminleo
- April 16th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Mazingatio makuu katika ufunzaji wa ufupisho
Na WANDERI KAMAU UFUPISHO ni mojawapo ya mihimili muhimu katika ufundishaji wa uandishi wa muhtasari. Kimsingi, kipengele...